Wanaolalamika hata mkiwapa viti vyote vya Bunge kamwe hawataweza kuwa na maendeleo bali ni kubadilisha mbinu za kisisasa na kutumia udini badala ya kuleta maendeleo ya kweli kuondoa Ujinga, Umasikini na Maradhi!
Do not worry, let them be 100%
May be CHADEMA with 98.78 ya viongozi na...
''''Katika mitambo yetu tumenasa mazungumzo ya ndani ya shirika hilo la ujasusi na inavyoonekana lengo kubwa siyo Uranium peke yake bali ni kufanya undumilakuwili(double crossing) kwa kusaidia JK halafu mlango wa nyuma maadui zake ili kuliingiza taifa hili kwenye vita vya wenyewe kwa...
kwa wale waliowahi kuishi shamba.....
hivi ukimkuta nguruwe pori kwenye shamba la miwa anakuwaje??? huwa ananogewa na utamu wa miwa mpaka anajisahau na kulia kama amebanwa na mtego.
Kilio ni dalili ya udhaifu na wala sio ujasiri.
Na kama kila anayestahili kulia hapa TZ angeamua kulia, basi...
'''''''BILA KUOGOPA RISASI WALA VIRUNGU''''''' Kuwa wazi mzee what are you planning to do?????
THANKS A LOT MAANA MNADHIHIRISHA NINYI NI WATU WA AINA GANI.
Kinachonichekesha ni kwamba, mtapewa ruhusa ya kufuatilia kila hatua ya kuhesabu kura(no doubt), halafu matokeo yake hamtaamini na...
Jana nilikutana na kada wa ccm, akanitambia kwamba, Tayari tumepokea (kuramba) shs 30,000 kila mwanachama wa ccm aliye hudhuria mkutano wa jk wa kumaliza makundi, Blue peal Hotel- Ubungo kwa jimbo la kinondoni!
[Hili limenishutua muno baada ya kuona mgombea mwenyewe anatoa rushwa. sijui pesa...
IT'S ABOUT YOUR SLOGAN''' CCM-chama cha mujahidina''
unataka kutuambia CHADEMA ni kitu gani?? je ni chama cha VITA VYA MSALABA?(CRUSADE?)
USHINDWE NA ULEGEE katika jina la dr slaa
Right article on a wrong site.truth is strictly prohibited with majority of members inside here.
but thanks, at least they will see it though they wont beleave
jimbo la chalinze,bagamoyo,muheza,handeni, monduli,bagamoyo,lushoto,mwanga, same mashariki&magharibi,chamwino,dodoma mjini,simanjiro,rungwe mashariki&magharibi,kyela aaaaaaahhh jamani mbona yapo mengi mmeshindwa kuyataja?
na hii ni kwa mujibu wa utafiti makini wa SYNOVATE..
CHADEMA...
''I WON'T LET MY COUNTRY BE LED BY DOGS'' hivi haya maneno alitamka nani? kumbukumbu zangu zinaniambia ni KAMBARAGE.. sijui wenzangu kumbukumbu zenu zinasemaje?
hustahili kuwa mwana CHADEMA kwa sababu huamini katika demokrasia, you are neither a great thinker even.... mara zote una -sound very violent na kwa kweli watu wa aina yenu, kuna umuhimu mkubwa wa kuwashuhulikia.
I like this forum kwa sababu inaonyesha wazi hisia za watu hata wasio na fikra...
AM WITH YOU MY BROTHER,, kuna muda wa kutosha ndani ya miaka mitano ijayo wa kuitoa CCM katika madaraka ya nchi hii. Ni wazi muda huo utafika ila sio sasa wala mwaka huu. Ikiwa wote tutafikiri na kukubali ukweli kama wewe na mimi!! basi ni kweli kabisa tungewekeza nguvu na muda wetu kuhakikisha...
Nashindwa kupata picha kama hiyo MoU INGEKUWA NI BAINA YA WAISLAMU NA SERIKALI nADHANI ZIMWI LA udini analopakaziwa JK lingekuzwa na kuwa shetani mkuu(LUCIFER).
inasikitisha sana na si sahihi kuwa na makubaliano ya namna hii.NILIPINGA UWEPO WA MAHAKAMA YA KADHI. nia hili nalipinga vilevile.
ila...
Wallah mbavu zangu jamaniiiiii, kweli humu kuna wanazi.
i thought hayo yote ni ndani ya majukumu ya raisi?
kama ni hayop tu aliyoyafanya basi kazi ipo kwani hata housegirl wangu akipewa ikulu anaweza fanya zaidi ya hayo. ushabiki umezidi hadi mnachekesha watuuu.
mamaaaa mbuvu zangu wallah
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.