Kwa faida ya wengine ni kuwa nilimpigia simu jamaa huyo wa Mgana Incubator (Dr.Singa) akaniambia kuwa anatengeneza mashine za aina tatu (3).
1. Zinazotumia mafuta pekee
2. Zinazotumia mafuta na/au umeme - ikitokea umeme umekatika unawasha mafuta yako na kuatamia kunaendelea
3. Zinazotumia umeme...
Mkuu mie nitajihusisha na kutotoa kuku wa kienyeji tu na kwa sasa nitazalisha kuku wa kufuga mwenyewe hadi nitakapofikisha idadi ninayotaka ndipo niangalie kama naweza kutotoa vifaranga wa kuuza.
Kuku wa mayai nao nitafuga lakini kwa kununua vifanga kutoka kwa wengine kama Interchick.
Mkuu nashukuru sana kwa habari hiyo, itanisaidia ktk siku za mbele. Nataka kufuga kuku wa kwangu lakini kwa lengo la kuuza hapo baadaye wakiwa wakubwa. Hata hivyo kama nilivyojieleza katika post yangu ni kuwa sihitaji mashine ya umeme kwa sasa bali mafuta ya taa kwani naishi mahali pasipo na umeme.
Wajameni, habari za mishe mishe. Najitokeza humu jamvini nikijua humu ni darasa murua la kuelimishana hususani ktk ujasiriamali.
Naomba msaada wenu, natarajia kuanza ufugaji kuku wa kienyeji kibiashara na ningependa kujua kama kuwa na mashine yangu ya kutotoa mayai (incubator) ni njia mwafaka...
WAPENDWA WANAJF
KUNA MADA NZURI ZA NDOA NA MAHUSIANO ZIMEWEKWA NA MDAU MMOJA PDIDDY, LAKINI MTOA MADA HALISI ANAITWA MBILINYI, TEMBELEA BLOG YAKE: www.mbilinyiblogspot.com
NAWASILISHA
Lakini kama ndiyo hivyo wanashindwaje kuboresha huduma za ATM pamoja na kuongeza mashine nyingi zaidi matawini hususani mikoani? Utakuta benki yote ina ATM moja tu kulikoni?
Wana JF
Mkoa wa Kigoma ni moja ya mikoa ambayo maendeleo ya kielimu bado yako chini sana (kuna vyuo viwili tu vya ualimu na hakuna shule nyingi - hata zilizopo ufanisi wake ni mdogo ukilinganisha na mikoa mingine).
Mwaka juzi nilikuwa likizo kijijini kwetu huko Kigoma, wanakijiji wakanieleza...
Vichwa vya wajumbe (tena wasomi) kutoka nchi zote tano havijasaidia kupata ufumbuzi wa suala hilo. Ama kweli wakoloni walitutawala na tukatawalika ipasavyo. Lakini fedha zinazotafunwa kwa njia za kifisadi kutoka katika nchi hizo zote tano wanachama wa eac si haba hata kidogo, lakini wakubwa hao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.