Hawa siyo WANAHARAKATI,bali ni wavurugaji . Kama ni wanaharakati kwa nini hawadai haki ya makundi mengine ya watu ambao kwa namna moja ama nyingine wanaweza kukosa kupata fursa ya kupiga kura hata kama walijiandikisha: 1.Kwa nini hawadai haki ya wagonjwa ambao watakosa fursa ya kupiga kura...
Kama vyuo vikifunguliwa kabla ya uchaguzi, utatatua vipi tena tatizo la wanafunzi wa mwaka wa kwanza (first year) ambao walijiandikisha katika maeneo yao wanayoishi sasa(nyumbani kwao).Hivyo, kufungua vyuo si suluhisho la tatizo hili,kwani bado wanafunzi wa mwaka wa kwanza nao watakosa fursa ya...
Kwa mtu mwenye uelewa mzuri akisoma taarifa hii kwa makini atagundua kuwa taarifa hii imepikwa tu na haina ukweli na imeungwaungwa tu na mambo mengi .Kwamba haina mtiririko na facts zinazojitosheleza kuwa taarifa kamili na watu wakaamini kwamba ni taarifa sahihi. Kututajia majina ya baadhi ya...
Uwizi huo utafanyika katika mazingira yepi?, na wakati wizi huo utakapofanyika mawakala wa vyama husika ambao watahusika mojakwamoja katika usimamizi wa zoezi la upigaji kura watakuwa wapi?. Hizi ni hisia tu za watu ambao wameona kuwa wanaelekea kushindwa katika uchaguzi wa 2010
Ukweli ni kwamba vyama vya upinzani vimechelewa kujiandaa katika maeneo ya vijijini,hivyo ushindi kwao ni mgumu katika uchaguzi wa 2010. Ushauri wangu kwa vyama vya upinzani ni kwamba baada ya uchaguzi huu waende wakajipange upya hasa vijijini kwa ajiri ya uchaguzi wa 2015
Umefanya utafiti wa kina? kama umefanya basi ukweli ni kwamba CCM imejiimarisha sana katika maeneo ya vijijini na inauhakika wa kupata kura nyingi kutoka katika maeneo hayo.Vyama vya upinzani vilijisahau kujiimarisha ktk maeneo ya vijijini na kwa sababu hiyo haviwezi kushinda katika uchaguzi huu...
1.Ameweza kuanzisha "Election Expences ACT,2010
2.Amefanikiwa kushinda marais wote waliotangulia katika kutekeleza ilani ya SADC na AU ya "Equal representation between men and women (50-50)
3.Amefanikiwa kulifanya bunge la jamhuri ya muungano kuwa la kisasa na la demokrasia zaidi (udikiteta...
Kweli leo nimekuja kuamini kwamba POLITICS IS WHO GETS WHAT,WHEN AND HOW.DK SLAA alikuwa wapi muda wote huu kusema haya anayosema sasa kuhusu spika sitta na jk. SLAA alikuwa mbunge na alikuwa na nafasi ya kuyasema haya kama hoja binafsi ndani ya bunge .Mimi nauona huu ni unafiki tu unaotumiwa...
Hizi ni mbinu na mikakati ya CHADEMA ya kutaka kuwahadaa wananchi ili waje kuamini kwamba CHADEMA wameibiwa kura na CCM,mara matokeo yatakapotangazwa kuwa CCM imepata ushindi wa kishindo.Ukweli unabaki palepale kwamba CHADEMA inakubalika katika baadhi tu ya maeneo ambayo ni machache tofauti na...
Kwa mtu mwenye kufikiri vizuri hawezi kuyathamini na kuyachukulia uzito maneno ya SHEIKH YAHAYA. Pia ufahamu kwamba sheikh yahaya ni mtu mwenye uhuru wa kutoa maoni yake kulingana na yeye anavyoona. Watanzania wengi wanajua na kufahamu kwamba JK analindwa na vyombo vya serikali vya ulinzi na...
Hiyo ni lugha ya kujiridhisha tu.CCM kwa asilimia kubwa imejipanga vizuri kuanzia maeneo ya vijijini hadi mijini ikilinganishwa na vyama vingine vya siasa.Hivyo,ushindi wa ccm katika kiti cha urais hauna mjadala na kwamba idadi ya watu wanaokwenda kuhudhuria mikutano ya jk wanabebwa na malori...
Kwani ni lazima marais wastahafu wampigie kampeni JK? Wameamua kukaa kimya kwa sababu wameona mgombea wao anakubalika kwa wananchi bila matatizo yeyote
Unadhani ushindi wa KIKWETE wa 2005 ulitokana na kura za wazee? Hapa sikubaliani na wewe kwa sababu vijana walio wengi ambao walishiriki katika uchaguzi walimpa kura KIKWETE hususan vijana wasomi wa vyuo vikuu .Nakumbuka siku moja JK alitembelea chuo kikuu cha mlimani kabla hajatangaza nia ya...
Moja ya kazi ya polisi katika kipindi hiki cha kampeni ni kulinda usalama wa wagombea akiwemo DR SLAA ili wasiweze kudhurika na jambo lolote.Hivyo kitendo kilichofanywa na polisi cha kuwazuia watu kusukuma gari la SLAA,mimi nakiunga mkono kwa asimia100,kwa sababu ni vigumu kujua kama watu wote...
Hawa ni watanzania ambao kikatiba wanauhuru wa kuchagua chama chochote wanachokipenda.Kwamba wameamua kuiunga mkono na kuipigia kampeni CCM kutokana na kuona mambo mbalimbali ya kimaendeleo yaliyoletwa na serikali ya CCM.Hivyo,usiwalazimishe kujiunga na chama ambacho wewe unakipenda.Watanzania...
Uzalendo wa DR SLAA ni wa maneno zaidi na siyo wa vitendo.Kama ni wa vitendo alichukua hatua gani? mara baada ya kuzungumzia posho za wabunge zipunguzwe.Tulitegemea kwamba SLAA angezikataa zile posho na kulitaka bunge kiasi fulani cha posho zake zielekezwe kwa watanzania masikini.Lakini cha...
Hiyo siyo CCM,angalia kwa makini rangi ya jeneza inafanana(inawiana) na rangi ya vazi rasmi (kombati) la CHADEMA.Nadhani ndani ya jeneza hizo wako viongozi wa CHADEMA
Kwa misingi ya sakramenti ya ndoa katika kanisa,ni wazi kuwa DK. SLAA amezini kwa sababu josephine alipata sakramenti ya ndoa na mume wake kanisani mbele ya mashahidi. Hivyo,katika msingi huo,kanisa bado linamtambua josephine kama mke wa Aminiel mahimbo na kwamba kanisa haliwezi kamwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.