Jamani mimi ni mtanzania ambaye nimeona mnisaidie kwa hili, Kwenye kampeni ya CCM mwanza JK aliahidi kulipa madeni yote ya NYANZA... ambayo ni zaidi Tsh billion tano. kati ahadi hiyo alikiri yafuatayo
Wabadhilifu ndio walioiua NYANZA na hivyo yeye atalipa deni hilo bila kusema kuwa walioiua...
si hilo tu la kuhaha kukana mambo ya sijawahi kunyong ana sijawahi kukataa kura za wafanyakazi. Mimi kinachiniskitisha ni kuwa KWA NINI MAFISADI WALE MAPESA, WAJENGE MAUMBA MILIMANI MWANZA, WATEKETEZE NYANZA HALAFU HELA ZETU ZITUMIKE KULIPA MADENI NA HAO JAMAA WABAKI HIVYO HIVYO. MIMI HII...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.