Wadau ambao wanauzoefu wa start up costs za sports bar & pub naomba mnipe uzoefu wenu kwani hii ni ndoto yangu ya siku nyingi...kitu kinachonisumbua ni vitu muhimu vinavyohitajika mpaka biashara isimame vinahitaji mtaji wa kiasi gani (kwa sasa nina milioni sita mkononi).wazo langu ni kuwa na...
wakati si wengine tunawatafuta hatuwapati ila tunatofautiana kama ww unataka mke awe beki tatu we oa kwenu lakini kama unataka msaidizi wakimawazo na wakulea watoto
habari zenu wana jamiii
nimekua nikiobserve mara nyingi inapofikia hatua ya watu kufunga ndoa wazazi huingilia kati either kumshauri mwanao aachane na mchumba wake au asifanye mambo kwa pupa....
swali linaloniumiza ni kwamba kama ww ni kijana na umeshazoeana na mtu wako ukaridhika nae wazazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.