Tatizo we kinachokusumua ni udini. Nilikuaga nahisi utakua mtu wa maana hapa jukwaani kumbe debe tupu.
Kadri unavyozidi kufungua kinywa ndo unaonekana empty. Mleta mada hajampoint kiongozi yoyote kwa jina lake bali kaizungumzia taasisi ya Urais.
Mbona Taasisi ikifanya jambo zuri mnakimbilia...
Nakuhakikishia Ruge akivuta ndo mwisho wa Clouds, hata akija mnunuzi mwingine still Ruge akabakizwa bado kampuni itasavaivu. Kufeli kwa tamasha la juzi ni kukosekana kwake ndo maana unaona wasanii kibao wako busy insta kumuombea apone, now ndo wanaanza kuuona umuhimu wake kwenye industry. Ishu...
Maelezo yako sahihi asilimia 95. Na pale kuna ndugu wengine God, Judi, na Andrew wote watemi ni kama ukoo wa kambale. Wanawindana Ila ukweli clouds ni Akili ya Ruge ndo kaply part kubwa mpaka kuwa super brand ila wale ndugu walivyo na roho mbaya walishindwa hata kumpa share kwani wazo la...
Jiandae kuporomoshewa mitusi na watoto wa jf coz ukweli hawaupendi, wamefunikwa na wingu zito la ushabiki. Kule insta naona Dada wa Taifa ashachafua hali ya hewa kuhusu umiliki wa share za mond ndani ya wcb. Kaweka document ya leseni ya TCRA watoto hawaamini wanatoa mapovu tu. Wanahubiri...
Coconut FM 88.9 frequency ya zanzibar ndo imebadilishwa kuwa wasafi FM, kuna wakati inakua hewani kwa dakika kadhaa na wasafi inapotea. Unajua hiyo coconut fm inamilikiwa na nan? Ukiachana na Peps mdhamini mkuu wa wasafi festival kuna wadhamini wengine, kama 3mzuka zinamilikiwa na joh pamoja na...
Hilo alosema mdau wala sio siri sema nyie washamba ndo hamtaki kuamini.... Hats hiyo frequency ya 88.9 ni ya kusaga kitambo ndo walikua wanaitumia kurushia matangazo ya coconut FM upande wa zanzibar.... Tatizo vijana mna mihemko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.