Hili ndilo lidude alilolileta? OMG! Kumbe Rostam siyo smart kihivyo. Sasa naamini anaweza kung'oka kirahisi na DOWANS imeshamkalia kooni. Kwa kujiokoa bora awahi tu Iran.
Kifupi elimu ya Tz inatia aibu sana. Kwa kuwa UD ni chuo kikongwe inchini tulitegemea kiwe mfano wa elimu iliyotukuka but am afraid that UD ni kati ya vyuo ambavyo wanafunzi wapo shallow sana. Unajua Tz ni kati ya nchi za ajabu ambapo mwanafunzi hata wa shahada ya uzamili wanaweza ku-graduate...
Speaking of January and Mwamvita, couldn't they tell their dad kwamba his time is up. To me is an embarrassment to have a bigmouth dad like Yusuph taking into account that his kids are also public figures.
Nafikiri assumptions zako siyo sahihi.
Kwanza kwenye hii post yako hujasema jambo muhimu lolote. Umejaribu kusema kuwa Dr Slaa anakosea bila kutoa sababu na mifano anakosea vipi.
Pili usiishutumi JF kwamba imepoteza muelekeo kwa sababu zifuatazo;
a. Wanamvi wa JF sio lazima wawe wanachama wa...
Kutokana na matokeo mabaya ya kidato cha kwa mwaka 2010 na mambo mengi yaliyosemwa na wadau wengi kuhusu kushuka kwa kiwango cha elimu Tanzania. Binafsi nitavutiwa na hoja hii;
*Kwa nini Tanzania kama nchi tusifikirie kufundisha watoto wetu kwa lugha moja ambayo tutaichagua na kuisimamia toka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.