Search results

  1. kasichana

    Wanawake hawaolewi kwasababu wametaka

    Umejiunga 2014 kwenye hii platfom naona umekuwa gwiji [emoji23][emoji23][emoji23]
  2. kasichana

    Wanawake hawaolewi kwasababu wametaka

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bichwa chafu
  3. kasichana

    Wanawake hawaolewi kwasababu wametaka

    Ujumbe mzuri Kaka Thomas
  4. kasichana

    Wanawake hawaolewi kwasababu wametaka

    Kwani Tatizo liko wapi .. Smart lakini uwezo mdogo wa kufikiri Wajikwezao hushushwa
  5. kasichana

    Wanawake hawaolewi kwasababu wametaka

    Ilikuwa poa sana ....
  6. kasichana

    Wanawake hawaolewi kwasababu wametaka

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijakuelewa
  7. kasichana

    Wanawake hawaolewi kwasababu wametaka

    Unasema kwenu hakuna wanaopigwa miti ila unataka uwaone(unakijua unachosahihisha?)..... Akili za usiku
  8. kasichana

    Wanawake hawaolewi kwasababu wametaka

    Nikikujibu utauliza tena Kipepe....
  9. kasichana

    Wanawake hawaolewi kwasababu wametaka

    Kwani kulamba sukari ni jambo dogo kwa kipindi cha sasa??
  10. kasichana

    Wanawake hawaolewi kwasababu wametaka

    Nafikiri kuna sababu nimeainisha hapo juu kwa Kuanzia katika kubaini chanzo
  11. kasichana

    Wanawake hawaolewi kwasababu wametaka

    Nimewaza sana, na kufanya upembuzi yakinifu na Kugundua kuwa Wanawake Wengi hawaolewi kwasababu tu Wametaka iwe hivyo... Kwanini nasema hivyo:- 1. Kama wangetaka kuolewa basi wasingeweza kutoa unyumba bure bila masharti 2. Wengi wanataka wanaume waliofanikiwa sio wale watakaofanikiwa nao...
  12. kasichana

    Aslay - Natamba (new joint)...!!!

    Stoku ya kutosha *yuko wapi sasa*
  13. kasichana

    Curriculum vitae CV

    Hapa ndio naanza kuamini elimu za bongo ubabaishaji mwingi Kwamba mtu mpaka unahitimu hujui kuandika CV Tuache kupenda vitonga
  14. kasichana

    ELIMU: Mikopo Elimu ya Juu kaa la moto

    Haya mambo yanaanzaga kama utani mwisho wa Siku unasikia makato yameanza.. Naikumbuka asilimia 15% Hii ilikuwa sababu tosha ya wanazuoni kupinga katika kila forum mbalimbali kwa kuandika hashtag ya uonevu huo sambamba na kuwasilisha malalamiko kwa wakikilishi wetu bungeni
  15. kasichana

    Mwongozo wa utumishi wa umma

    Hongera kwa jitihada hizo Kimsingi Mkuu wa Idara au Kitengo kama ntakuwa nimekuelewa vizuri hivyo ni vyeo vya Madaraka unaweza kufikiriwa kuvipata mpk utakapokuwa umepata usenior wa nafasi husika
  16. kasichana

    Nafasi za Kazi TFS(Wakala wa Misitu Tanzania)

    Kuithibitisha ndio kazi sasa ..... Ukikosa sio busara kupakazia
  17. kasichana

    Kubadili kada ya utumishi (job recategorization)

    Halina mda Maalumu Kitu Cha Msingi ni kuwa Na sifa(academic qualifications) zinazoendana Na kada unayotaka kuiendea Kwa Mujibu wa miundo ya utumishi(service schemes) Vikiwa Sawa unamuadikia muajiri wako
Back
Top Bottom