nasoma kiu health science( co) ee bwana kiu bado hapana uhakika 100% ila mawaziri walituambia tutatambulka kwa hyo tunaishi kwa imani tu kuwa watatutambua unajua kiu hakuna mwanafunzi aliyeajiriwa serikali kwa kozi za afya mwez nov. ndio kuna jamaa wanamalza tuone km wataajiriwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.