mi naoana kama danganya toto 2. ngoja tususubiri huo mwezi 1 waliopewa na ma dr. nahisi kama mchezo waliocheza pinda na na hao katibu mkuu na mganga mkuu. nahisi ilikuwa kama hivi" (waziri mkuu)- ndugu zangu wananchi wanaumia , hawa jamaa nishawapiga mkwara lkn bado wanagoma na wanataka ninyi...
naombeni msaada wenu wanajamii. Kuna demu hapa kitaa nampenda naye ananipenda. hivi karibuni wakati bado tunaendelea kufahamiana zaidi wakaachana na boyfriend yake lkn nashangaa nikimkaribisha kwangu au swala la outing siku zote anachomoa. Cha ajab zaidi akiwa na rafikize anasema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.