Hawezi kuamka huyo, kwanza macho yake yamelegea utadhani amekula kungu! Anazidi kupotelea kwenye usingizi wa pono!
Wakiisha wanyama itabidi irudishwe biashara ya watumwa!
Seriously, badala ya kuanzisha viwanda ili tuuze processed animal products unawaza upuuzi wa kusafirisha wanyama ghafi...
mama anapenda sana kujikosha! l
Lakini pin ipo palepale, ilani imesheheni ahadi ambazo ngosha angekuwepo zote zingetekelezwa na zingine kuongezwa!
Sie tunancheki tu!
Hata mie nimesoma nje ya nchi ila hayo uyasemayo isipokuwa la verification, hayana uhalisia! Verification ni muhimu sana ingawa wanaweza kupunguza ukiritimba! Kuhusu 'treatment' unayopata kazini is purely comes from your own attitude! The fact that you are still referring to your foreign...
Upo sawa mno mkuu! Akili yake mleda nada ni finyu sana! Legacies za Mwl.JK Nyerere na JPJ Magufuli zinafanana ambazo ni kuliweka taifa huru na kuliondoa ktk utegemezi, pia kujali maslahi ya watz na nchi Yao kwanza, na kulipaisha taifa kiheshima ktk global stage kama kiongozi na siyo mtwana! Pia...
Mbona Kila mtu anaongea kwa kujihamihami TU! Huyo Binti Si ulimpenda! Kwani hamjuweka hadidu za rejea; ulimuahidi kumuoa na kuwa ulikuwa single? Kama hukuwahi kumuahidi kumuoa basi
Waambie unajiandaa kwanza utakapokua tayari utakwenda kumuona🤓! Wasikukimbize, subira yavuta kheri...
Kwa ufinyu wako wa akili the only parameter inayohusishwa na CA ya Cx lake zone ni govi! Mbona mchovu hivyo wa fikra!? Eti CA Cx kwa mwanaume, CA ya 🖊️s🤓! Takwimu hizo zinasema wamepata CA ya Cx kwa sababu walishiriki na wenye magovi eeeh, pathetic!
Umeshajiuliza contribution ya STI...
Sina govi, wazee wangu walilikata hata kabla sijajitambua! Muda mwingine huwa nawaza hawakunitendea haki🤓! Wangeniacha nije kuamua mwenyewe!
Ila msikaririshwe kuwa magovi ndio huleta saratani! Kama hivyo mbona wenye magovi hawapati hiyo saratani yenyewe mfyuuuuu 😡!
Msiendekeze 'conclussion' za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.