Search results

  1. S

    Elections 2010 Baraza la mawaziri la Rais Dr. Slaa

    Mi maona ziwe 19 andoe wiraza ya utamaduni habari na michezo na kuiunganisha na wizara ya elimu. Sisahihi kabisa na huu ni ubaguzi kuonesha mawaziri wa baadhi ya wizaramaeneo watakakotoka.may be kunasababu za msingi other wise haina tija
  2. S

    Elections 2010 Utafiti waipa Chadema 44% na CCM 41%

    Taarifa kwenye vyombo vya habari zinaonesha (jambo leo news paper) source ni synovate: lakini nina wasi wasi sana hii Taasisi kuhusu Tafiti zake. DR.SLAA IS A MAN WHO HAS BEEN SENT TO SAVE TANZANIAN IN THEIR TIME OF NEED. VOTE FOR DR.SLAA VOTE FOR CHADEMA
  3. S

    Sala ya Slaa na Kikwete-Ni balaaa

    Hii sala imetulia,ingeongezewa "unaye wachukia wafanyakazi"
  4. S

    Wajue wanawake wa maeneo ya Arusha, Moshi na Manyara

    kuna uwezekanano huo utafiti wako ukawa na ukweli ndani yake, lakini nashindwa kushawishika kuyakubali matokeo yako moja kwa moja maana hujaonesha aina ya utafiti wako, sample ya utafiti wak, maswali ya msingi uliyo uliza na numba, au asilimia ya watu waliojibu ndiyo au hapana ua sijui.any...
  5. S

    Aliyefungwa kwa baraghashia yu huru

    mmh! kweli nchi hii ina vituko,sasa inamaana huyo jaji yupo juu au hajui sheria? na kwanini wasubiri Tamko?, tutaaminije kama kweli uamuzi huo ni wa kisheria au si kwasabaubu ya shinikizo la BAKWATA?mbona uamuzi umetolewa haraka sana, maana mi nijuavyo mahakama zetu huchelewesha sana kesi...
  6. S

    Elections 2010 Hapa kuna haki?

    Tanzania haki itakuja kutendeka tu na pekee tu, kama watanzania watakapo kimwaga ccm,otherwise tusahau
  7. S

    Elections 2010 Yanayojiri kwenye kampeni za CCM Mwanza

    Bila shaka DR. slaa anafaa kuwa Rais kama wapiga kura watakuwa Objective, na mimi naomba wawe hivyo sisiemu inatakiwa kuogopwa kama ukoma
  8. S

    Elections 2010 Yanayojiri kwenye kampeni za CCM Mwanza

    mi nakubaliana na wewe 95%,na nachelea kusema huenda safari nyingi nje ya nchi zina uhusiano na Afya yake.
Back
Top Bottom