SUA. ni chuo bora nchini Tanzania..Elimu unayoipata pale ni babukubwa..pia ni chuo kinacho tegemewa na 100% ya watanzania wote...aliepo sua . anaweza kuthibitisha haya
inasababishwa na mambo mengi, ikiwemo "malabsorption" pale ambapo mtu hawezi kufanya absorption of materials.. pia kuna utofauti katika kufanya absorption ya nutrients kama vitamins,amino acids,fatty ,sugars etc..so content ya feaces ita tofautiana kati ya mtu na mtu.pia hata smell itakua na tofauti
Inategemea na timu kazi atakayoitumia anayopanga kuitumia, pia ni watu gani watakua nyuma yake!!!.maana tanzania ni nchi ya kidemokrasia na ubepali ndio tupo nao.
Watumishi wengi ni wazembe, wanatakiwa kupelekwa kinguvu nguvu mkuu..tukiwa na combination nzuri ya hawa watu(jeshi) kutoka chini hadi juu, mambo yatakaa vizuri zaidi
Ninaipenda nchi yangu, awali ya yote ninaiomba amani iwe nasi hasa katika kipindi hiki cha uchaguzi.
Kwa awamu ya tano.(Chini ya ukawa au CCM). Kwa ubora wa taifa hili, ninapenda nchi hii iongozwe kidemokrasia kupitia mbinu shirikishi na uongozi wa kijeshi.
Yaani wanajeshi wenye elimu wapewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.