Bora hata Aunt Ezekiel alikua maarufu kuliko huyu, daah CCM wanapoteza hela zao buree. Bora wangezitunza mishahara ya wafanyakazi watakapokua chama cha upinzani. Masna vyanzo vyao vya mapato vitapungua saaaana
Lisu nakuomba kwenye mkutano ujao umuombe mheshimiwa Raisi atuambie zile hela zilizobebwa kwenye Viroba na Marumbesa za Escrow kutokea Stanbic Bank, zikikua za nani? Na kisha atuambia kampuni ya Simba Trust ambayo iko ubia na IPTL ni ya nani? Chonde chonde Lissu usisahau
Walaa Kikwete hajaingizwa mjini, yeye ndo alieandaa tafrija hiyo kwa kumtumia Ruge, yeye ndo alietoa kadi za mwaliko kwa wasaniii. Raisi alijua kabisa analofanya. Waulize wasanii waseme kama kuna aliechanga hela ya kulupia Ukumbi? Kununua chakula, vinywaji na kila kitu? Kikwete ndo alikua msanii...
Definitely wasanii wamekua organized kupost hizo Picha, alafu wote wameanza siku moja na Picha zimekua edited from one source, the question is wanapost kwa mapenzi yao? Au wamashinikizwa? Who is behind this?
Huwa tumezoea kuona Ndege za jeshi zikifanya mazoezi wiki moja au mbili kabla ya public holidays.
Lakini leo tarehe 19/08/2015, toka asubuhi anga letu hapa Dar limezungukwa na Ndege, kila dakika zinapita, alafu isivyo kawaida leo zinapita chini chini saaana, zinatushtua na kutupigia kelele...
Jamani hizo naamini ni strategy za ushindi za UKAWA, Dr. Slaa sio mjinga akaondoka Chadema dakika hizi za mwisho kuelekea Ikulu. My instinct tells me ataibuka siku ya kumtangaza mgombea wa UKAWA, alafu hapo wazee wa goli la mkono watabaki bila story
Kwa hili mtoto wa mkulima anaonewa, zaidi zaidi anatakiwa kuonewa huruma. Kama Raisi kasema Fedha zitoke mnategemea waziri mkuu abishe kweli? Wakiwajibishwa namba moja ni Raisi, na kama Raisi tunamshindwa basi awe katinu mkuu kiongozi, ambaye ndie aliesaini barua.
Jamani, Werema sio kilaza. Werema ni mwanasheria mahili saaaana. Hafanyi kazi vizuri kwa sababu mbili,
1. Yupo kwenye nafasi ya kisiasa, nafasi ambayo inakulazimisha kufanya ujinga, najua hata tundu Lissu akitokea kuwa AG atajanya na kutetea ujinga. Ikumbukwe kwamba kazi kubwa pia ya mwanasheria...
Mimi nafikiri kuna mambo kadhaa yaliyotakiwa yasemwe pia na PAC lakini sikuyasikia, mambo yenyewe ni kama yafuatayo;
1. Mmiliki Mwingine wa PAP ni nani?, kwa sababu, kwa sheria za Tanzania mpaka sasa kampuni lazima imilikiwe na watu zaidi ya mmoja. Sheria ya mtu mmoja bado haijaanza...
Mi nshajua kwamba wewe mleta Mada ndo wewe wewe Danny G. Lakini hebu sema vyote, wewe mbali na hizo hisa umeshachangia shillingi ngapi? (umezilipia hisa ngapi?) maana kila hisa lazima ilipiwe. sio kwamba ukiwa shareholder hata usipochangia chochote unaendelea kuwa shareholders maissha yako yote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.