Ndugu wana JF,
Kila anayefuatilia siasa za hapa nyumbani anajua nchi yetu inapitia kwenye mageuzi makubwa ya kisiasa huku CCM ikiangamia, CHADEMA wao wanashamili kwa afya. Kwa sasa Chadema wamekuwa wakivuna wanachama toka CCM, binafsi jambo hili sio zuri kwa chama kinachotaka kuleta mageuzi ya...
nadhani amechelewa sana, waliondoka wenye nguvu kuliko yeye tena wakati amabao chadema haijaaa vizuri, leo hii hata akiondoka Dr SLAA, sisi tutasonga mbele, chama si mtu, hata hivyo tumesikia mengi juu yake, aondoke salama.
hii ni kazi ya consultancy mkuu, tangaza tenda tukuletee ma proposal, mimi ni mtaalam ila kama unahitaji huduma yang ulipie. kama upo tayari weka mawasiliano yako tufanye kazi.
nadhani watanzania tuwe makini, ukweli Kinana ni Msomali ila alishapata uraia kama nilivyosikia, cha msingi ni je mtu asiyekuwa na asili ya nchi aweza kweli kuwa na uchungu na nchi aliyohamia?? je kuwa mtanzania kuna faida zozote za msingi kukuona unatufaa?? mbona wapo watanzania wenzetu...
mbona mnaleta mijadala ya ajabu?? kwa nini tunajadili jambo ambalo bado muda wake, au mmetumwa?? matokeo bado, mimi naamini Dr Slaa ndo atakuwa rais wetu tuwe wavumilivu kusubili matokeo ya mwisho...
ushauri wako mzuri, tumeupokea, atagombeaje usipika kabla hata matokeo hayajatangazwa?? wewe umejuaje urais kashindwa, matokeo yalotajwa ni majimbo ambayo ccm ndo imeongoza bado ya chadema yenye wapiga kura wengi, kutangulia si kufika, ushindi hadi kipyenga cha mwisho kipulizwe
nakubaliana juu ya ccm kuiba kura, lakini mbona hatuendi mbali kujiuliza, mbona kwa ndesamburo hawaibi?? na kure tarime kila siku wanaanguka?? karatu napo miaka 15 hawakuweza kuiba?? mfano wapiga kura asilimia 90 wakampa slaa wataiba ngapi?? haiwezekani,
sisi tukapige tu kura kuikataa ccm. Mwaka...
uache kumchunguza mkeo, kaa nyumbali, ulikuwa unatafuta nini huko, ndo hasara za kuchunguza chunguza badala ya ktulia, utajuta sasa umeona na umepata stahili yako..
hiyo ni historia ya CCM ya wakati huo, itabakia kwenye vitabu, sasa sio tena chama cha mapinduzi, limebakia jina tu,
sawa na wewe kubaki unaitwa mapande kong'wanzoka wakati baba yako kong'wanzoka keshafariki....
Tusiwaonee ITV jamani, kwa mazingira yaliyopo wamejitahidi sana, yapo mapungufu ya kibinadamu, nao lazima watetee kitumbua chao, mtumikie kafiri upate mradi wako, nawapongeza sana, nadhani tupeleke tuhuma zaidi kwa chombo chetu wenyewe TBC kabla hatujaangalia cha jirani maana huo si wajibu wake...
jibu liko wazi kabisa hapo, tena shukuru umeapata mwanamke wa maana, anaonekana anakuzi akiri, kama umeona umeshindwa kumshawishi maana yake nini?? huna uwezo, kwa kukusaidia tu alichokuambia ni sahihi kabisa na anaonekana mwanamke wa msimamo thabiti, atakuwa msaada mkubwa kwako, wewe mwambie...
hata mimi nilifurahia sana matokeo ya utafiti huo, nawapongeza ITV maana hawajaficha kama taasisi zingine, sasa nimeamini kumbe
tupo wengi na inawezekana, nikusahihishe kidogo ni asilimia 87 ndo walisema ndio, tuendelee kuchanja mbuga..
hata kama ccm tutaipatia miaka mingine 100, bado hali itaendelea kuwa mbovu zaidi, ili tusifike huko tunpaswa kuipumzisha mwaka huu kabla hatujaharibikiwa...
Mwaka wa mapinduzi, tuendeleze mapambano ya chini kkwa chini, kushawishi ndugu zetu, huu ni mwaka wa mabadiliko..
Eeeee Mola wetu tuwezeshe mwaka huu tuiangushe ccm kwa kishindo....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.