thanx mikataba feki, samahani kwa kukukwaza mario gomez, nashukuru nimeshapata taarifa napenda kuishukuru jf kwa taarifa maana hata tangazo la kazi nililiona humu, naahidi kufanya kaz kwa juhudi na maarifa tuweze kukusanya mapato ya serikali kwa maendeleo ya...
ningemwambia watu wanakutania hivi mkuu wa nchi " palitokea mkutano wa madaktari bingwa dunianikutoka nchi tatu,China, Ugerumani na Tanzania. Wakawa wanajadili mafanikia yaliyofanywa na ktk nchi zao. Mchina akaanza, kwetu alizaliwa mtoto hana mikono tukamwekea wa bandia na sasa...
An airplane was about to crash; there were 5 passengers on board but only 4 parachutes. The first passenger said, " I'm Kobe Bryant, the best NBA basketball player, the Lakers need me, I can't afford to die.... So he took the first pack and left the plane. The second passenger, Hillary Clinton...
yule mama rahma kharoos ( balozi wa polisi jamii) if am not mistaken ana kampuni kani vile ya mafuta! hahahah nchi ya baba, mama mdogo, mtoto( prince) na mashemej from DUBAIIIIIIIIIIIIIIIIIII!
Wana JF itabidi niilaumu serikali kwa kunifanya niwe mlevi kwani kila umeme unapokatika hasa usiku by saa moja najongea kwenye baa yenye umeme napiga laga zangu mpaka mida ya kulala naenda kulala, hata iwe monday, kwa hali hii mgao ukiendelea kwa miezi kadhaa...
sasa mnataka naye akale wapi? TRA wezi, viongozi serikalini wezi tena wa mabilioni yeye jero tu! mwacheni, kila mtu atakula kwa urefu wa kamba yake, kilichobaki tugawane nchi kila mtu atoze kodi sehemu yake!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.