serikali inaundwa na watu wa dini zote na wapagani ambao watalazikika kuchinja kiserikali lakini pia inasemekana serikali ni ya mfumo kristo itaaminika vipi kubeba jukumu la kuchinja kwa niaba ya waisilamu?
NDUGU, unapendekeza AYA ZA kuchinja za KITABU chako cha DINI iingizwe kwenye katiba ya nchi??????????????? mmmmh kesho tutasikia wakristo nao wakitaka AYA zao ziingizwe kwenye katiba
MWISHOWE , TUTAJIKUTA KATIBA YETU imejaa AYA za bibilia na koran.
REJEA RASIMU YA KATIBA MPYA UKURASA WA 2
HIVYO BASI, KATIBA HII YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
ILIYOPENDEKEZWA NA BUNGE MAALUM LA KATIBA imetungwa na SISI
WANANCHI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA kupitia KURA
YA MAONI kwa madhumuni ya kujenga jamii kama hiyo, na kuhakikisha kuwa Jamhuri...
REJEA RASIMU YA KATIBA MPYA UKURASA WA 2
HIVYO BASI, KATIBA HII YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
ILIYOPENDEKEZWA NA BUNGE MAALUM LA KATIBA imetungwa na SISI
WANANCHI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA kupitia KURA
YA MAONI kwa madhumuni ya kujenga jamii kama hiyo, na kuhakikisha kuwa Jamhuri...
Tanganyika inaweza kuwa na katiba ya mpito na bunge la mpito ambalo litatumia sehemu kubwa ya katiba ya Muungano kwa kuchomoa mambo ya Muungano na kubakiwa na misingi mingine na tunu zake kama ilivyotokea baada ya kupata uhuru. Hapo anaweza kuchaguliwa waziri mkuu wa muda ili kufanya uchaguzi...
umeharibu hapo tu RED, mapendekezo ya tume ya warioba sio yao binafsi ni maoni ya wananchi na kama ni yao tunayo fursa ya kukataa wakati wa kura za maoni. Kura ya maoni ikisema sawa yatakuwa ni maoni yetu.
Mahakama ya kadhi imeshaanza kazi nchini lakini waislamu wa mlengo wa PONDA wanapinga mahakama hiyo kuwa chini ya BAKWATA ambayo tayari imeteua kadhi mkuu na makadhi wa mikoa kwa maelezo kwamba BAKWATA ni chombo cha serikali lakini hao hao wanataka mahakama ya kadhi iwe chini ya serikali.
Hapo ndipo huwezi kujua PONDA na wafuasi wake wanataka nini na wanakataa nini. PONDA na LIPUMBA wanacheza na akili za wachache wanafikiri watacheza na akili za wengi ati mahakama hiyo iwe ndani ya dola. Muda kitambo utasikia serikali inatuingilia.
Kwa mbali naona Kuna kaukweli ndani ya hoja hii.............. JF tupunguze matusi na kujenga hoja zaidi ili kuupa mtandao wetu heshima.
Sio wote wanaotukana hapa JF lakini wale wapenda matusi wajirekebishe na kujielekeza kwenye hoja za msingi
Manyerere kumbuka katiba hii imeteka hoja nyingi za chadema. kui- neutralize hoja ya mpinzani kisiasa ni ushindi pia.
Nchi za wenzetu Ulaya na marekani wanazitumia sana hoja za wapinzani ili wakati wa kampeni za uchaguzi wapinzani wawe na hoja chache dhidi ya chama tawala.
Mabadiliko makubwa yanayofanyika sasa yanaweza pia kuikoa CCM. CCM itakuwa na fursa ya kujipanga upya badala ya kila siku kufanya siasa za kushindana na upepo wa mageuzi.
Mgombea binafsi itaikoa CCM kwani watakaotoka CCM sio lazima wakimbilie upinzani kama sharti la kuwa mwanasiasa. Hili lina faida hata kwa wale watakaopenda kuachana na vyama vya upinzani na kuwa huru badala ya kwenda CCM.
Obvious:
profesa wa ukanda wa pwani ( prof LIPUMBAVU) wa CUF aliyasema hayo msikiti wa Idara karikoo kuwa gesi na madini ya huko sio ya watanzania wote ni ya wakazi wa maeneo hayo. SUMU HII ndio chimbuko la machafuko.
hakuna anayejua ni misikiti mingapi kazunguka kumwaga sumu hii.
Ikulu ilijengwa na mjerumani.
sijawahi kuona mahala popote duniani ambapo kuna hati miliki ya ramani za misikiti au makanisa. kwamba ramani hizo ni kwa ajili ya nyumba za ibada tu na kujenga kwa muonekano wake utakuwa umekiuka sheria au unakufulu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.