Halmashauri kwa experience yangu sio pa kitoto mimi kuna muda nimewahi fikiria kujiua, mimi huyuhuyu nimewahi kufikiria ku quit.. Namshukuru Mungu nipo najitafuta ingawa sijajipata bado
Kikubwa uwe na watu mnaojuliana hali time after time, mimi hii hali kuna muda inanitokea najikuta naenda kazini nikitoka ni kujifungia mpk siku ya pili na sometimes mood inanituma nisiende job siku ya pili nazima tu simu au naweka kindege nalala sema kuna wanangu wa job wakiona hivyo lazima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.