Hello kaka,tatizo lako linaweza kuwa limesababishwa na mambo kama stress.etc.jitahidi sana kutokua na msongo wa mawazo.PM me,nitakutumia namba yangu unipigie,kuna maswali nitakuuliza,yatapelekea kusuluhishwa kwa tatizo lako.
Zifahamu faida za:-
Pomegranate(komamanga)
-ina antioxidant inayosaidia kupendezesha ngozi na kuifanya ionekane ya kijana.
-Husaidia mwili kuondosha sumu na uchafu utokanao na kemikali na mabaki ya chakula mwilini.sumu hizo ambazo huwa ni chanzo cha magonjwa mengi mwilini kama...
Ni namna gani naweza kupunguza uzito/kupunguza mwili na kuonekana kijana tena?.Je nitawezaje kupunguza mwili kwa namna salama na ya uhakika?....Hili ni swali ambalo wengi huwa wanajiuliza na kujaribu njia mbalimbali ili kupunguza miili yao bila mafanikio.Taratibu zetu za maisha zinapelekea...
Pole sana na matatizo ya macho.Mimi nahusika na mambo ya afya ila kuhusu macho,naweza nikaku connect na mwenzangu mwenye uzoefu wa area hiyo hapo akakusaidia.nipigie namba 0659143784
Vizuri sana.Excellent ideas.watu waache kusema hamna vitu vya kufanya.but the most important thing,knowledge,persistence,guidance,support.Some people got ideas but how to make them a reality is a problem to them.Thanks God am over that .# team successful one
Nachokushauri,kama hana mwelekeo makesure ana mwelekeo kwanza otherwise hata hiyo biashara unayotaka kumfungulia itakosa mwelekeo.Ni vizuri kum assess kama Chasanya alivyosema hapo juu.# team successful one
Hi,tutakupa mawazo lakini,next time ni vizuri usichkue mkopo bila kujua kitu cha kufanya na business plan yake vizuri,otherwise unaweza ukachukua wazo lolote sababu ya haraka.# successful one
Kama unataka ku raise capital from investors,unaweza kuconsult hao proffesionals niliowataja hapo juu ili wakusaidie ku perfect idea yako.On the process of perfecting your idea utafundishwa namna ya kuwa exposed to the investors and utapata capital yako.As for me naweza kukusaidia kufuata njia...
Hii inaonyesha jinsi gani watanzania wana kiu ya maendeleo.Inabidi tujifunze kwa wenzetu wanigeria.Those guys are very aggresive kwenye mambo ya maendeleo,mifano hai:- movie industry,music industry,angalia matajiri wanaoongoza africa kina Dangote,kina Mike Adenuga,angalieni pia kwa upande wa...
Kweli mtaji sio tatizo, kama idea ipo excellent basi mtaji utapatikana with no doubt. Kuna sekta mbalimbali zinazosaidia watu kuboresha innovative ideas. Kwa mfano:-DTBi (Dar Teknohama Business incubators-for technological ideas). From then idea yako ikishakamilika unaweza kui present kwa...
Kama kuna mtu angependa kuanza biashara na hana idea afanye biashara gani,nina business idea ambayo ninaweza kushare na wewe ambayo unaweza kutengeneza sio chini ya 500,000 kama faida kwa mwezi wa kwanza katika biashara bila kuanza na capital kubwa nitafute,iko limited kwa watu watano tu.
Email...
Kama kuna mtu angependa kuanza biashara na hana idea afanye biashara gani,nina business idea ambayo ninaweza kushare na wewe ambayo unaweza kutengeneza sio chini ya 500,000 kama faida kwa mwezi wa kwanza katika biashara bila kuanza na capital kubwa nitafute,iko limited kwa watu watano tu.
Email...
Ni namna gani naweza kupunguza uzito/kupunguza mwili na kuonekana kijana tena?.Je nitawezaje kupunguza mwili kwa namna salama na ya uhakika?....Hili ni swali ambalo wengi huwa wanajiuliza na kujaribu njia mbalimbali ili kupunguza miili yao bila mafanikio.Taratibu zetu za maisha zinapelekea wengi...
Ni namna gani naweza kupunguza uzito/kupunguza mwili na kuonekana kijana tena?.Je nitawezaje kupunguza mwili kwa namna salama na ya uhakika?....Hili ni swali ambalo wengi huwa wanajiuliza na kujaribu njia mbalimbali ili kupunguza miili yao bila mafanikio.Taratibu zetu za maisha zinapelekea wengi...
Kaka,mimi ninakushauri kitu kimoja cha muhimu sana;kuishi maisha mazuri,yani,(ule vizuri,-balanced diet,ulale vizuri,have fun-furahia maisha).Sometimes inaweza ikawa ni specific health issue au ugumu wa maisha.Ninahusika na mambo ya nutrition naweza nikakusaidia.Kwa maelezo zaidi nipigie namba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.