Miili ya wanajeshi saba mashujaa wa Tanzania waliofariki wakiwa kazini wakitekeleza ulinzi wa amani wa kimataifa katika mkoa wa Darfur nchini Sudan, imewasili leo kwa ndege maalumu ya Umoja wa Mataifa.Kaimu Mkurugenzi wa habari wa JWTZ, Meja Joseph Masanja amesema miili hiyo imewasili leo...
Naitwa stanley moses mtaalamu wa uandaaji na mshauli wa uandaaji wa field and reseach reports kwa gharamama nafuu sana
muone kwa mawasiliano
0713163155, 0765487827
naitwa stanley moses bingwa mshauli na muandaaji wa field report na research desartation kwa gharama nafuu sana napatikana kurasini kwa anwani ifuatayo
stanley moses 0713163155, au o765487827
ndugu zangu wa tanzania mnalichukuliaje swala la tbc taifa kuwakatia chadema matangazo?
binafsi nilidhani wangekua waungwana na kuhakikisha kuwa wanavitendea vyama vyote sawa
je hii sio matumizi mabaya ya madalaka?
je wataweza kutushawishi watanzania tukawaelewa?
Kuuliza swali ni haki yako lakini kaka maswahali mengine jalibu kuangalia unamuuliza nani
mtu kama dr slaa ni kiongozi makini sana anayejua anachokifanya wewe ulitambui hilo?
Tanzania ni nchi hulu inayoongozwa na utawala wa shelia wewe unafikili ni jambo rahisi kiasi hicho?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.