Mmaojidanganya nyie adi leo znz imekuwa kaa la moto kwenu n mtazidi kuwa la moto,kATIBA ya znz imewatia dole la kila mkipapatua limawazidi kuingia mku....... ndu......ni......
Katiba ya znz inamtambua Shein ni Amir Jeshi Mkuu, Ndio maana mnahaha usiku n mchana kwa katiba ya znz, Kamuulize pinda atakujibu khs znz km nchi au sio n kithibitisho juzi tu Shein kaonesha nyie malofa n wapumbavu wote mmeufyata baada ya kupigiwa mizinga n kukagua gwaride, bisha nikiwekee...
Vioja wakati mnang’ang’ania uwepo muungano? Ata rais wenu juzi kwneye sherehe za mapinduzi ya znz alikuwa dagaaa tu maana shein ndio alikagua gwaride pmj n kuingia mwisho uwanjani n kutoka mwanzo
Waziri Dr.Hussein Mwinyi unafahamu alianzia wapi ubunge? Pia kuna Msukuma mmoja alikuwa Mbunge znz jimbo la Dole ivi 2015 akapigwa n chini ni Maguu akamtetua uko Komoro ila wapo Watanganyika waogombania
Mtoto anahitaji mapenzi ya Baba n Mama , akilelewa nje ya wazazi wawili yale mapenzi mtoto anayaondoa kwa wazazi wawili maana asiekuwepo machoni n moyoni hayupo, mtoto akikuwa n akiwa hakujali wa kukuthamini ujue sababu ndio hiyo kuishi nje ya wazazi Kwa kipimdi kirefu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.