Search results

  1. Bila shuka

    Liverpool msimu huu hachukui kombe lolote

    Halafu aende Europa Man U baada ya kumuachia Man City
  2. Bila shuka

    Tumezoea kusikia Nyumba inakodishwa, Mke Jeee??? Soma hapa!!

    Anza kumkodisha wa kwako n km huna mke jp hawara n km huna jp dada yk kodisha , baada ya hapo ndio ulete huu uzi
  3. Bila shuka

    Mke wa mtu 'anajitongozesha' kwangu. Nimfanye nini?

    Mke wa mtu ni sumu n mume wa mtu ni maziwa
  4. Bila shuka

    Mwanaume nimeshindwa kula leo kwa ajili ya mapenzi

    Rudi nyuma ukamgonge la gari lako, wacha kulia lia kukataliwa ni jambo la kawaida tafuta mwengine maisha yaendeleeeee
  5. Bila shuka

    Mtanganyika (Mtanzania bara) anaweza kugombea ubunge Zanzibar? Katiba inasemaje?

    Mmaojidanganya nyie adi leo znz imekuwa kaa la moto kwenu n mtazidi kuwa la moto,kATIBA ya znz imewatia dole la kila mkipapatua limawazidi kuingia mku....... ndu......ni......
  6. Bila shuka

    Mtanganyika (Mtanzania bara) anaweza kugombea ubunge Zanzibar? Katiba inasemaje?

    Katiba ya znz inamtambua Shein ni Amir Jeshi Mkuu, Ndio maana mnahaha usiku n mchana kwa katiba ya znz, Kamuulize pinda atakujibu khs znz km nchi au sio n kithibitisho juzi tu Shein kaonesha nyie malofa n wapumbavu wote mmeufyata baada ya kupigiwa mizinga n kukagua gwaride, bisha nikiwekee...
  7. Bila shuka

    Nani alipanga bajeti ya ujenzi wa ukuta wa Mererani?

    Kwahiyo ujenzi uwo ni vita? Bora uzio au maji kupelekewa wananchi? Au kujenga madarasa ya shule? Au madawa hospital?
  8. Bila shuka

    Mtanganyika (Mtanzania bara) anaweza kugombea ubunge Zanzibar? Katiba inasemaje?

    Vioja wakati mnang’ang’ania uwepo muungano? Ata rais wenu juzi kwneye sherehe za mapinduzi ya znz alikuwa dagaaa tu maana shein ndio alikagua gwaride pmj n kuingia mwisho uwanjani n kutoka mwanzo
  9. Bila shuka

    Mtanganyika (Mtanzania bara) anaweza kugombea ubunge Zanzibar? Katiba inasemaje?

    Waziri Dr.Hussein Mwinyi unafahamu alianzia wapi ubunge? Pia kuna Msukuma mmoja alikuwa Mbunge znz jimbo la Dole ivi 2015 akapigwa n chini ni Maguu akamtetua uko Komoro ila wapo Watanganyika waogombania
  10. Bila shuka

    Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

    Mbn sifa ya 17 Hujasema km ww ni bikira ?
  11. Bila shuka

    Nimemchoka ila nashindwa kumwambia

    Jomba ww ni fala maana hujawa tayari kumuacha afu unakuja kulia lia uku jamvini
  12. Bila shuka

    Natafuta kazi ya salon ya kike Dar

    Profeshino je unaweza vuka maji?
  13. Bila shuka

    Natafuta mme wa kunioa

    Nitafute PM nipo kwa ajili yk tu n ushindwe ww tu
  14. Bila shuka

    Hii Ndoa Tarajiwa Inaniumiza kichwa

    Niunganishie mie uyo nioe mazeee
  15. Bila shuka

    Tuweke kumbukumbu sawa, Bethlehem alikozaliwa Yesu sio Israel, ni Palestine

    Wayahudi hawana kwao ni wavamizi tu kwenye Ardhi za watu
  16. Bila shuka

    Naomba ushauri; inafaa kumpeleka mwanangu wa miaka 5 shule ya boarding?

    Mtoto anahitaji mapenzi ya Baba n Mama , akilelewa nje ya wazazi wawili yale mapenzi mtoto anayaondoa kwa wazazi wawili maana asiekuwepo machoni n moyoni hayupo, mtoto akikuwa n akiwa hakujali wa kukuthamini ujue sababu ndio hiyo kuishi nje ya wazazi Kwa kipimdi kirefu
  17. Bila shuka

    Serikali ipige marufuku kusambaza baadhi ya kauli za Rais

    Rais huyu Hapangiwi ww anajua nn anachokisema. ,
Back
Top Bottom