Search results

  1. C

    Maduka ya watu wa Bara yachomwa Zanzibar; yadaiwa ni kampeni dhidi ya Muungano!

    WAZANZIBARI HAWATAKIII MUUNGANO NOOOOOOOO HAMUJUI KISWAHILI NYIE AU VIZIWI HAMUSIKII!!!!
  2. C

    Maduka ya watu wa Bara yachomwa Zanzibar; yadaiwa ni kampeni dhidi ya Muungano!

    we wana Mapinduzi walisha toa Warning kwa hao ndugi zako kabla ya kujiamulia hiyo issue na walipatiwa muda wa kutosha ili waondoke hapo kiusalama kabisa na walikataa ndio watetezi wa Taifa la Zanzibar wakamua kuwashughulikia!!! Wakulaumiwa ni SMZ kwa kweli walishajua kuwa hilo Sooo litatokea...
  3. C

    Maduka ya watu wa Bara yachomwa Zanzibar; yadaiwa ni kampeni dhidi ya Muungano!

    jaribu kuwafungulia miguu kama hawajakupiga goli kama madem wenzako wa kitanganyika walivyo wafanya!!!!
  4. C

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?

    wacheni stori zenu za michosho hizo unaleta topics za kizezeta hapa topics zisizokuwa na maana yeyote..ULIWAHI KUSIKIA WAPI UNGUJA NA PEMBA WAMEUNGANA? WACHENI KULETA FITNA ZENU ZA KUTAKA KUWAGOMBANISHA WAZANZIBAR NYIE!!!! KWA SABABU WANATAKA KUVUNJA MUUNGANO NA TANGANYIKA...ZANZIBARIS PEOPLE...
  5. C

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?

    wacheni kuleta story zenu za michosho hizo..wakati ukweli wenyewe mnaujua 100% kuwa wazanzibar hawataki Muungano, mnaleta longolongo sio wakati wa Zenji wenyewe hiyo ndio issue yao kubwa wakati huu wa Uprisings lol
  6. C

    Ni Zanzibar ipi wanaitaka?

    Zanzibar Prime Minister Mohamed Shamte at United Nation Conference in New York 1963 ZANZIBAR NATIONAL FLAG AFTER INDEPENDENT 1963 Hayo ndio Wazanzibar wanayoyataka,kurudisha hadhi ya nchi yao na dola yao huru... Dont force them to support the fake Union, is their right to decide what to...
  7. C

    Ni Zanzibar ipi wanaitaka?

    hakuna tanzania nje ya muungano!!!wazanzibari wakifanikiwa kuvunja muungano jina la tanzania litakufa na mutabakia na jina lenu halisi la tanganyika...zanzibar itabakia kuwa jamhuri ya watu wa zanzibar DAIMA NA MILELE
  8. C

    Elections 2010 Serikali: Walioachana mswada wa mapitio ya Katiba Zenji Wahuni

    Samiha yeye ndio muhuni na mnafiki analinda kazi yake na mabilioni ya pesa alizopatiwa na CCM kwa mpango wa kufanya kampeni za kuendeleza muungano udumu wakati anajua ukweli na agenda ya wazanzibari kuwa 90% hawautaki tena muungano huu. serikali ya CCM bara vile vile wanajua kuwa imefikia...
  9. C

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?

    Hayatuhusu hayo mkuu tuwaachie wenyewe wa Zanzibari na Nchi yao wajiamulie wenyewe Naona wanataka Uprising na wao hao kama vile Tunisia, Egypt na Libya we wacha tu...unataka kuniambia kama Tanganyika yetu ikirudi tena kwani yale makabila yetu ya Wanyamwezi, wanyachusa, Wasukuma,Wadigo,Wahaya...
  10. C

    Disemba 9 kila mwaka: Tunasherehekea uhuru wa nchi ipi?

    BABA WA TAIFA WA TANGANYIKA MWALIMU NYERERE ON TANGANYIKA INDEPENDENCE DAY 1961 The multi-racial first cabinet of newly independent Tanganyika on 1961
  11. C

    Polisi Z`bar wayapiga stop maandamano ya waumini wa Kanisa la Anglikana dayosis Z'bar

    Picha:Kadhia ya kiwanja cha Mbweni Karume ajibu mapigo Rais Mstaafu Aman Abeid Karume wa Zanzibar Karume Amtetea Binti Yake Juu ya Kiwanja RAIS Mstaafu wa Zanzibar, Amani Abeid Karume amtetea Mwanawe Fatma Karume kuwa ndio mmiliki halali wa kiwanja kilichopo Mbweni eneo la Mfuuni ambacho...
  12. C

    CUF yataka serikali tatu

    wacha kuongea longolongo wewe na ndoto zako za kingwendu hizo..........Zanzibar itabakia kuwa nchi huru na dola yake kamili kama hapo awali ilivyokuwa ikiitwa JAMHURU YA WATU WA ZANZIBAR na walipata uhuru wao kihalali na kuwa na kiti chao ndani ya United Nation!!!!! Hakuwa Adui yeyote yule...
  13. C

    Polisi Z`bar wayapiga stop maandamano ya waumini wa Kanisa la Anglikana dayosis Z'bar

    hayati Abeid karume alitaifisha ardhi zote za mkoloni baada ya mapinduzi inawezekana kuwa hiyo Ardhi wanaosema kuwa ni yao Kanisa la Anglikana walipatiwa na Wakoloni sio!! Kibunango kawambie babu zako wasiweke nia na matumaini ya kupewa hiyo Ardhi kitu hicho wasahau kabisa!!!! any way Zanzibar...
  14. C

    SMZ yavunja nyumba za mawaziri

    Zanzibar mpya ,serikali mpya na sheria mpya haha wale viongozi na vigogo wote wa serikali ya zamani waliokuwa wanaiba mali ya uma na kuchukua ardhi za Wa zanzibari wanyonge wajitayarishe kurudisha mali za uma au watafikishwa mbele ya vyombo vya sheria:A S-alert1...
  15. C

    Maandamano CUF hakuna aliyejeruhiwa!!!!!!!!!!!!!! Ni mchezo wa kuigiza

    Wacha kutuzingua na stori zako za zezeta hizo **** mkubwa we....kwani wa Tanzania hawawezi kufanya maandamano bila ya kufa mtu? England ni juzi tu kabla ya christmass wanafunzi wa chuo zaidi ya 3000 student waliandamana na kufanya Riot kwa fujo nyingi tu hadi walivunja mpaka majumba ya serikali...
  16. C

    Katiba sifuri ya CUF kuvunja Muungano na kuitambua Tanganyika

    Hiyo ndio Democracy mkuu kila Taifa liwe na Dola yake huru....ikiwa ni vigumu basi ni bora mufanye muungano kama wa Scotland na England na kuwa United Kingdom lakini kila Nchi inafanya mambo yake kivyake bila kuzulumiana!!!!!!
  17. C

    Zanzibar kabla ya 1964

    Siasa za kibabe bado zinaendelea kwa Wa Zanzibar kujikomboa kutoka katika utawala wa Kitanganyika na Muungano fake wa bandia wa Zanzibar wasingeweza kupata dhiki na maisha duni kama wavamizi wa kigeni kwenda katika nchi yao kufanya Njama za kijeshi kulipindua Taifa lao la Jamhuri ya watu wa...
  18. C

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kero zake: Je, tuuvunje?

    mitego na ujanja wa Njerere na Wa Tanganyika wa kulivunja Taifa la Jamhuri ya Watu wa Zanzibar iliwashinda hadi Mr Julius mZee wa aZimio La Arusha wa siasa za Ujamaa na kujitegemea ilifikia wakati wa kifo chake na styl hakufanikiwa kuli Vunjaaa Taifa La wa Zenji...Wa Zanzibari Taifa lao...
  19. C

    Waziri Mkuu wa JMT na Rais wa Zanzibar nani yuko juu na kwanini?

    Nakupa hongera mkuu kwa kuijulisha jamii ya Kitanganyika kama Tanganyika ilipata uhuru wake 9/12/1961 na Jamhuri ya watu wa Zanzibar ilipata uhuru wake 10/12/1963.
Back
Top Bottom