Ni kweli tofali hizo zimeonekana kufanya vizuri,kwani mimi mwenyewe nimeshaona baadhi ya majengo tena ni imara beyond tofali za cement.Kinachofanya t ofali hizi zisijulikane kwqa walio wengi ni teknolojia yake ambayo haijazoeleka.HAPA shy kanisa la roman huzalisha tofali hizo
kwa hili nadhani kinachoonekana ni kwamba hii issue ni very serious kwani kuna mgongano wa tafsiri ya mswaada wenyewe.Kikubwa pengine na sisi wananchi tujilizishe kwa kuusoma.Jamani kama kuna mtu anao naomba aupost tujaribu kuamua pengine sheia ikikwepeshwa tuweze kupaza sauti.
Actually sisi kama watanzania hasa wenye uelewa tuna sababu ya kusimama na kuitetea serikari yetu ya muungano.Kilichotufikisha hapa ni mfumo wa chama tawala ambao wengi wetu tunahisi tukibadilika hatuwezi kusonga mbele.Watanzania octoba hiyo,kumbukeni ni ujinga kukumbatia JIWE:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.