Sisi wa Africa ni majuha,badala kujadili jinsi ya tufanye mambo ya maendeleo ,tunawaza uislamu na ukristo tulioletewa na waarabu na wanzungu.mbaya zaidi waarabu waliwaua babu zetu.ndiomaana hakuna mwarabu mweusi.🤬🤬🤬🤬🤬😇😇
Waafrica wengi tunapopata za daktari tunaacha kutumia majina yetu.
Na unapomwakilsha Rais,,Utakiwa kuanza na jina lake mfano ,Mheshimiwa Dr Samia Hassan Suluhu,rais waJMT au Rais wa JMT Dr Samia Suluhu Hassan.
Ukitumia kinyume cha uje wewe ni juha tuu.
Wakuu WA wlilaya na Nokia wawae wanagombea badala ya kuteuliwa na raisi.wawe ni wenyeji wa sehemu husika.hili BN litaleta mwamko zaidi wa maendeleo,na Itaondoa Mambo ya ndio more
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.