Paskali nilikuuliza huko nyuma (labda kama kumbukumbu yangu haiko vizuri) maana naona huwa hutumii Dr. (Mara nying) kwa mheshimwa Rais wetu. Kwa ufahamu wangu kama mimi naitwa Juma Ali nikipita U Dr kwa kusoma naitwa Dr Juma Ali, ila nikipata wa heshima naitwa Juma Ali (Dr) inakuwa mwisho kwenye...
Naona "point" yako... na tungeenda mbele zaidi hata mpaka kwa wabunge... Kwani ubunge unasomewa wapi? Kabla wakati, na baada ya ubunge si wakuwa na kazi/biashara zao> Kwanini mbunge asiwe tu anajitolea? Maana ni kazi ya kisiasa pia!!!
Nimesoma mahali mfano unaitwa Juma Shaban, kama ulipata kwa kusomea utaitwa Dr. Juma Shaban, lakini kama wa heshima utaitwa Juma Shaban (Dr) ili kuwa tofautisha..... hivyo haitakiwi kuanza na Dr kama hujasomea.. I stand to be corrected.
Kama umeachiwa rangi tu haihitaji kemikali ya ajabu sana.... chukua kitamaa safi na jivu laini(hakikisha halina mchanga) an maji kidogo sugua... uana baki na rangi ya gari yako.
Duh!!!!
Hatari sana hiii... yaani sababu tu alikutwa na pikipiki ndo ushahidi tosha kuwa aliuwa. Nilidhani adhabu ya kifo inatakiwa ushahidi uwe "beyond resonable doubt"? Kama ndo hivi basi kuna shida kubwa sana katika mfumo wetu wa haki. Nadhani hata aina ya upelelezi unaofanywa na polisi wetu...
Ni vizuri kuwa mkweli
<blockquote class="twitter-tweet"><p lang="in" dir="ltr">Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika leo Ijumaa amesema, barua kuhusu Baraza Kuu kutupilia mbali rufaa za waliokuwa wanachama wao, Halima Mdee na wenzake 18 imeshafika kwa Spika, "ni vyema akaheshimu na kutekeleza...
Hivi ni kweli kabisa kwamba serikali imeshindwa kabisa kutengeneza vyanzo vya mapato, ila kwa kutumia tozo?! Maana nimemwona Chemba anasema wana mpango wa kuanzisha tozo ya huduma za kimtandao!! Na hizi tozo anaziongelea kama vile wananchi wamezikubali, ila anajua fika huu ni wizi/ujambazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.