Mwanamke aliyeolewa anapaswa kuishi pamoja na mumewe, yeye na mumewe hawapo huru kujifanyia lolote. Hao kula kulala wako huru kufanya lolote, hawawajibiki popote.
Hakuna ndoa ya mke na mume kuishi mbali mbali. Vitabu vya dini vimeweka wazi kabisa, mwanaume atakula kwa jasho wakati mwanamke atazaa kwa uchungu. Mke ni pambo la nyumba, ukitaka umtume huko mkoani ili akakutafutie pesa basi jiandae kutombewa tu. Iko hivyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.