Namfahumu huyu dada ni jirani yetu kumbe usilolijua nisawa na usiku wa giza lkn kama anahusishwa ni mapema mno kusema wasubiri uchunguzi ukamilike ndo watoe hewani.
Kwa mtazamo wangu mtu yoyote anaempinga jaji warioba ana manufaa na serikali hii ya kifisadi kwa mtu makini anaejitambua hawezi kuunga mkono upumbavu na usenge unaoendeshwa na hawa manyonya damu kila mtu anahaki ya kutoa maoni yke juu ya katiba na hakuna sheria inayokataza jaji ataendelea...
Fukara wa fikra fukara wa mawazo umekaa pamoja na walioshika akili yko mmeona ngoja mje na uzushi wa kijinga nadhani umeongea kinyume chake walio nyimwa misaada kwa sababu ya ufisadi si unawajua ni ccm mbona unajikanyaga mtoto kabla hujatoa post soma inaonekana bado hujitambui.
Wwe na vilaza wenzio ndo mnaweza kuamini ujinga wko mimi binafsi nimechunguza nimeona wwe kwanza ni muongo kwenye pic umesema unaonekana umevaa koti la blue light anaeonekana ni warioba acha kutafuta umaarufu kwanjia ya ujanja ujanja.
Huyu jamaa simuelewi anatoa swali anajijibu mwenyewe na yeye ni walewale wametunga wao wanajitekenya wanacheka wao wanajifunga wanashangilia.kuhusu ITV kumpa airtime jaji sio kazi yko itv ni ya mtu binafsi kama inalipwa au inapa chance jaji imempa kwa haki na sio upendeleo kama inakuuma...
Ukweli unawauma sana kwani yaliyotokea ni udaku tofauti kati ya udaku na ukweli mnaelewa?issue siyo gazeti ni habari niya kweli au uongo.umaskini wa mawazo ni tatizo kwako una mawazo mgando kama chama chako cha mafisadi now tumeshawajua na hatutarudi nyuma mpaka kieleweke buku 7 sio maisha ya...
Acha akili za kitoto nadhani kama ulisikiliza tangia mwanzo mzee butiku alisema pale wanaongea kama wananchi tume ilishafutwa hatuna tume umekalia ushabiki na hujitambui utaendelea kuwa msukule mpaka kufa kwako.
Mbona hujauliza ccm mabillion eanayotumia kuhonga wanayatoa wapi wwe fara kweli kamuulize mama au baba yko pesa ya kukuwezesha kufuta ujinga walipata wpi utapa jibu la swali lako.
Mtoa post fara kweli hivi hukumbuki huyohuyo pinda alisema change ya rada amesambaza madawati nchi nzima kumbe uongo na niusanii wa kutisha tuna waziri mkuu anasimama bungeni anasema uongu hiyo harambee ni ya kuichangia gvt iendelee kuiba na hakuna cha dawati hapo ni pesa ya kampeni.
Hizo shangwe kwenu sio kwetu hospt hakuna dawa watu wanafariki kwa kukosa dawa leo mnasifia ameagwa kwa shangwe nisawa unamhonga hawala pesa nyumbani kwako watoto wanalala na njaa ni akili au matope jitambue mtoa mada uko hoi huna fikra una mawazo mgando.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.