Awali ya yote umeshawahi kupanda boti hiyo? Inaitwa Zanz fast ferry #3.
Kama bado, majibu yako bado yatabaki kuwa ni takataka!
Unapokosoa kitu uwe unakijua. Ila wewe bila shaka yoyote hujui boats ngalawa, mashua wala jahazi...
Bora utulie tu, ushauri wako katika hili umefail mbaya.... Komaa...
Wakati mwingine ITV inakera sana kwa kurudia rudia...
Anyway mambo ni moto wiki hii... Sophia mikononi mwa Polisi kwa kumteka mtoto wa Ramon...
Fransisco ni kama ameshafaliki, baada ya kujaribu kumwiibia Sophia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.