Nimesikia kuwa lile group la whatsapp a.k.a elimu hewa limevunjwa na mwalimu wao kisa wanafunzi hawataki kutoa ada a.k.a skuli fizi. Mwl njaa wanafunzi njaaa raha kweli.
Malila ngombe wa kienyeji inawezekana kumlisha na kumtibu ili aongeze kilo kwa ajili ya nyama?? Maana na ngombe kama kumi na sita madume yote sasa afya zao haitanilipa kuwauza nimefikiria kuwalisha ili wanenepe. Swali mimi nipo kahama sijui madawa wala chakula, lkn watu wa huku wanawalisha...
Habari wanajf..
Kwa yeyote anayejua nitawezaje kuonana na Mh Lowasa,, naomba mnisaidie ninashida naye binafsi, sijui pa kumpata sijui kwake wala ofisi zake..
Kama huna mchango plse kaa kimya
hawa ndio wanavyokuwaga wanapokuwa na shida wanakuwaga wapole ngoja apate, mtachoka. wallahi tena huyu atawasaliti tu hawana maana waccm hata jf ataona wajinga. atakuwa bize na michakato, mipango, harakati, isiyotekelezeka. haya ndugu malecela kila la heri.
nimejaribu kuunganisha dot kwa nn matokeo ya uchaguzi jimbo la v.nyerere hayakucheleweshwa.. hawa wajinga walijua kama dogo anaweza kuropoka hayo maovu. bila ubishi ben muuaji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.