Na michepuko inatakiwa ijue mapema kuwa una familia mambo ya kudanganya mwanzo sio poa, mie dame akishindwa kukubaliana na hali ya mm kuwa na familia ndo tunaishia hapo
Yaani ukiona mwanaume amevaa amependeza muheshimu sana, sijui ni nani alipanga nguo zetu ziwe bei juu, hata ukienda kwenye mitumba ukitaka wa kueleweka at least inabidi upasuke
Tukisema msiwekeze sana kwenye mapenzi vijana hamuelewi na mnatuona sisi bado hatujapata wa kutupenda, sisi tupo hapa kuwapa ushauri na pole kama kawaida yetu
Ufundi gypsum na ceiling in general, hii nilijifunza site moja kwa moja nilipoanza kibarua baada ya life kunichapa juu kati na chini, nikaingia site nikakutana na hizi mbishe wana wanapiga nikajiunga sijawahi kujutia na hakuna kurudi nyuma, natamani hata ningemaliza tu 4 ningekuja pande hizi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.