MICHUZI BLOG: RAIS JAKAYA KIKWETE AKUTANA NA MGOMBEA WA URAIS WA MSUMBIJI IKULU NDOGO YA TANGA
MICHUZI BLOG: JK AKUTANA NA WAJUMBE KITUO CHA DEMOKRASIA TANZANIA (TCD) IKULU NDOGO DODOMA LEO
WWW.BAYANA.BLOGSPOT.COM: Rais Kikwete awaapisha Mabalozi wawili wapya mjini Dodoma leo
Rais...
Hizi hesabu zimekosewa, kama 38% ya CCM imeingizwa kwenye 68% ya ushindi wa jumla wa CCM, je 62% ya UKAWA kwanini imepungua na kuwa 32% kwenye matokeo ya jumla?
Uongo siyo mzuri eti thamani ya fedha kulinganisha na dola haikuyumba, wakati mwaka 1998 ilikuwa $1 = Tsh 669.32 na mwaka 2005 ikafika $1 = 1185.33, kweli haukuyumba japo kuna tofauti ya Tsh 516.01
BANK OF TANZANIA
FOREIGN EXCHANGE RATES FOR 22 May , 1998
CURRENCY
BUYING
SELLING
U.S.$...
Ndugu Mtoi ninakushauri maswali yako uyawasilishe idara ya uhamiaji. Ukijibiwa na idara husika ninaomba ulete hayo majibu hapa jukwaani kwa faida yetu sisi sote.
Ujenzi wa shule ni kazi ya serikali ndio maana tunalipa kodi. Kama unataka tufanye kazi za serikali msije kulalamika tukiamua kuanzisha jeshi letu pia.
NDIO ILI TUENDELEE TUNAHITAJI WAWEKEZAJI WENGI WA NDANI.
Naona neno "wawekezaji" unalielewa ndivyo sivyo. Akili yako inakutuma kuwa wawekezaji ni wageni tu (watu wa mataifa mengine) bila kujua kuwa hata wewe Mtazania ni miongoni mwao.
Sina tabia ya kuchangia kitu nisichokijua. Nenda UDSM utapata uhakika Missana alimaliza shahada yake ya sheria lini, alfu ulinganishe na huo muda unaomzushia alikuwa Marekani. Acha wivu na roho mbaya wewe.
Acha uongo na fitina wewe, Missana amekuja Marekani December 2005 na muda wake unaisha December 2011, Huo mwaka 2002 Missana alikuwa chuo kikuu cha Dar es salaam,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.