Ndio mana amemuambia awe mfano
sasa kama yy Rais anajua kuna sheria kama hyo, na anataka watu walipe kodi kwa nn asipeleke mswada wakubadilisha ili aweze lipa.
Bado suluhisho la simu faki halijapatikana mm nna tecno feki Ukituma sms TCRA Ina jibu ila jina la Company tofauti syo Tecno means kwamba imesajiliwa kihuni
Yalo semwa na mkulu, nimeamini alikuwa ana manisha,
wa TZ Ha2na budi kushukuru kwa wenzetu kufanywa mbuzi wa kafara.
Mwenyezi mungu azilaze mahali pema roho za walio katishwa uhai wao Arusha.
Hivi karibuni tumesikia ya kwamba tanesco kanzia 1jan watapandisha bei ya umeme.
Mbali na hilo Tanesco imekuwa ikipambana dhidi ya kuondoa/kupunguza vishoka wanaojitokeza kufanya shughuli mbalimbali za shirika kinyume na matakwa ya office.
Sasa leo hii tanesco baada ya kupandisha bei za umeme...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.