That is right Tanzactive, mtu yeyote anayejua afya yake hawezi kuongea ujinga juu ya matatizo ya watu wengine, ukiambiwa uthibitishe kuwa ameathirika utaweza, hebu acheni hizo ndugu zangu.. huwezi kujua nawe utaishia wapi
mimi siwaelewi, mumemmshupalia mtoto wa mwenzenu. Kama nyie wazazi wenu hawakupata nafasi ya kuwa marais, that is NOT Ridhiwans problem. LEAVE RIDHIWAN ALONE, shame on you all musiomtakia mema
:A S 39:Jamaa dereva wa maroli kashafulia, haya wafuasi wake kazi kwenu..... unajua watu wengine hawana dili jingine siasa ikidunda vita.... nasikia huyo mama yuko kazini anapiga mazigo wakati Buji na Kimbau wanahangaika DODOMA kubembeleza mhh kazi kwao, mimi siasa zisifagilii, mutachinjana bure
issue ni kuwa unasema amekuwa hawara ili apewe ubunge ndio maana anasema hivi kwa vigezo alivyonavyo anahitaji kutembea na mtu ili ashinde mawazo finyu hayo AMKENI ndugu zangu
Ndugu zangu natumaini hatima ya Mafia iko mikononi mwa wana Mafia, hivi kama Kimbau hafai mbona wamemchagua, na kama kutoa rushwa wote hao Kimbau na Buji walitoa rushwa ila awamu ya pili, Buji imekula kwake. Bwana haya mambo yanakwenda kwa wakati jamaa alishatesa miaka kumi kafanya nn visima...
Mungu akusamehe wewe unayejiita friendsof JK, ni wazi kuwa unahitaji maombi kwa mtazamo wako finyu katika karne hii ya sayansi, huyo mama mwenye digrii mbili msomi wa hali hiyo, kwa akili yako ndogo unadhani anahitaji kuvua chupi ili apewe cheo? ni msomi kuliko wanaume wote waliogombea, ana cheo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.