This is rubbish!!!!. Kwani huyu Membe ni waziri wa nini na suala la mauaji ya Arusha linahusu wizara gani. Kwa hiyo tuseme Membe anakaimu wizara ya mambo ya ndani au ndio IGP.
Unajua mimi nimekuwa siku nyingi sana najiuliza juu ya upeo wa Membe na huyo aliyemteua kuwa waziri wa ndani. Anyway...
wewe ebu ondoa upuuzi wako hapa. Unadhani watu ni wapumbavu kama wewe kiasi cha kuamini propaganda feki kiasi hicho. Kwani nani kakutuma hasa - Loasa, Manji, Lostamu, JK, RK au nani? Umekosea sana. Watu wana akili ya kupima sela na mawazo kuliko akili yako finyu.
Hongera mzee CCM kujenga hoja zizizokuwa na ukweli ili kuhakikisha watu walio na mapenzi bora na nchi hii wanakata tamaa na kugeuka ili kuipigia kura CCM. Wewe kwa hakika siyo mzalendo hata kidogo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.