Salam,
Tafadhari naitaji kuweka Permanent artificial teeth . Nímetumia denture za kuweka na kutoa naona zina nisumbua , so nataka kuweka mano ya bandia ya kudumu .
Nipo dar, tafadhari mwenyekujua matibabu haya , faida zake tofauti na yale ya kutoa, madhara yake , gharama na mahali ambako...
Heshima waungwana!
Tafadhari nlikuwa naitaji kufahamu gharama za master degrees course(MBA) inayotolewa na open university of TAnzania, muda wa course na competence ya course yenyewe kama mtu anayegraduate hiyo course anakuwa katika sehemu moja kiuwezo na yule ambaye amesoma mzumbe na vyo...
Wadau salam zangu za dhati kwenu,
Nataka kufanya biashara ya mbao za miti kwa hapa Dar es salaam, lakini sina taarifa za kutosha kuhusu soko lake na bei zake kiujumla, ntafurahi kupata taarifa zidi kwa yeyeto ambaye ameshawahi au anafanya biashara ya mbao hapa Dar es salaam;
i. Bei za mbao za...
wadau habarini. na biashara yangu nataka iendeleza, sasa naitaji mkopo kuweza fikia lengo hilo. nimeajiriwa kwa mkataba, na mshahara wangu si mbayaz. swali lamgu juna bank ambayo unaweza kunikopesha kwa kutumia salary slip yangu?
asante
Huyu jamaa anayeijiita le mutuz. Ni mnafiki sana .huyu bwana kwanza anjiona yeye bd kijana wakati ni mtu mzima anayeelekea kuitwa babu..Le mutuz wewe unakera. Unatia aibu,nina uhakika kaka umefulia so unatafuti pesa na heshma kwa lazima. Mambo unayofanya na kusema hayaendani kabisa na umri wako...
habari wanajamii Forums ,
Tafadhari nahitaji kufahamu faida za kufanya mitihani ya TOEFL, wapi hapa Dar naweza pata Tuition zake , vipi gharama zake ,na gharama ku giregister kufanya mitihani hiyo ni kiasi gani?
Mwenye uelewa wowote kuhusu TOEFL tafadhari, tujuzane.
Natanguliza shukrani za...
Wanajamii Forums, Habari!
Napenda kujuzwa , wapi Hapa Dar Es Salaam Wanatoa Huduma ya Kuweka Meno Ya Bandi Ya Kudumu kwa gharama Nafuu?
Wenye Kujua au KUfahamu Chochote, Tafadhari Tujuzane .
Asante
Habari wadau wote.
Tafadhari ,naitaji kufahamu APN ( ACCESS POINT NAME ) ya Airtel na Vodacom.
USERNAME YAKE:
NASSWORD YAKE :
Plz, mwenyekujua taarifa hizi anijuze ,
Asante
Antivirus gn ninzuri kwenye kuzuia virus wakati una surf na kulinda ma file (full protection) ? Package ya mwaka naweza kupata kwa kiasi gani na sehemu gani mjini naweza enda nunua?
Wadau nímenunua laptop mpya kama miezi miwili iliyopita,laptop ilikuja na antivirus ya Norton,sasa wananiambia kwamba antivirus yangu imekwisha na naitaji ku renew doller 84 kwa hiyo package,..siwezi afford hiyo gharama,.,Napenda kujua kama naweza ku download free Norton Antivirus na ikafanya...
mkuu tatizo ni pesa tu naona kama ukitaka tab ambayo utaifurahia kwa mda mrefu na kuitumia kufanya shughuri zako nyingi ni ipad , na nivema ukapata hili toleo lao la mwisho ipad 3, au angalau samsung galaxy tab 2,10.1. Hizi nyingine zipo bei rahisi kdg lakini bd utahisi kuna kitu unakosa
Habari friends,
Nlikuwa naitaji tablet, lakini tab ambayo nimeipata kwa sasa ni playbook ya blackberry, ambayo inatumia wifi tu..so napenda kufahamu kama kuna mdau yeyote anayeitumia hapa tz na ku share experience yake especialy kwenye upande wa kupata internet, sababu wifi hapa kwetu...
Habari wanajamii,
naitaji kufahamu gharama za mtu mmoja kwenda na kurudi serengeti na ngorongoro...kuanzia gharama za usafiri, malazi, chakula na gharama za matembezi ukiwa katika sehemu hizi za utalii
mwenye taarifa ntashukuru akinijuza hapa.
Asante sana
hamna shaka kwa namna moja au nyingine kupigwa na kutekwa kwa dokta ulimboka kunatokana maneno ya kuhamsha na kuchochea hasira kwa dkt ulimboka yaliyofanywa na kituo cha radio cha clouds fm ktk kipindi cha power breakfast,segment ya jicho la ngombe majuzi,bwana gerald hando kwa makusudi au kwa...
MOVIES MPYA NA SERIES, kama , NIKITA COMPLETE SEASON 2, NIKITA COMPLETE SEASON 2, TRUE BLOOD COPLETE SEASON 4,MOVIES...SAFE HOUSE YA DANZEL ya Danzel Washngton, SAFE, MISSION IMPOSSIBLE GHOST PROTOCOL, PIRANHA 3DD, na zingine ambazo wewe ungependa..kwa wale ambao wengependa kufanya biashara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.