.
Sikonge,
Inawezekana Mwakyembe alikuwa anahujumiwa pengine katika chaguzi na sio kuhusu suala la maendeleo wilayani kyela kama kasuku Keil anvyotaka tumwamini.
.
Upuuzi mtupu.
Unapochemka kubali na sio visingizo wa kubadili ID.
Kwann nibadili ID?.Ninakuogopa wewe?.
Binafsi sina muda wa kufanya Ligi na wewe.,mtu ambaye hakuna unalolijua kuhusu unachoaandika zaidi ya ngojera za magazeti kama ulivyosema mwenyewe.
Ilikuwa kila siasa za kyela...
.
Ukasuku ni hali ya kufuatilia kilekile kilichoandikwa na kusema vilevile.
Mwakyembe,amelia miaka mitano kuwa anahujumiwa jimboni kwake,lakini ukweli ni kwamba hakuna anayemhujumu.Ameshindwa kushirikiana na wananchi wa kyela katika kuleta maendeleo kwa kisingizio cha kuhujumiwa.Na kweli...
.
Mkuu.
Mbona unakuwa kama kasuku?
Upuuzi wa kusema Mkuu wa mkoa anahujumu maendeleo ya wilaya ni ujinga.Mbona Slaa kule mbulu alizungukwa kila upande,lakini alifanikiwa kwa kuwashawishi wafadhili wa ndani na nje ya nchi kusaidia?.Mbona kyela kuna watu wengi binafsi wanajitolea kutafuta...
.
Kutoka ccm na kwenda Chadema sio kwamba damu yako baado ni ccm.kuna wengine walikuwa ccm kutokana na system ilivyokuwa na hawakuwa na jinsi ya kujitoa.Lakini kuna wanaojitoa ccm kwenda kuvuruga upinzani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.