Siku zote ukweli una uma. Hajadai urais bali ametoa hoja yake ya kuondolewa nafasi ya kazi ajili ya kufata taratibu za kazi na sio maagizo ya mtu. Jibu kwa hoja.
Makato ya pango ni kwa kila mtanzania au ni kwa wale wenye majumba. Mimi ni mpangaji. Niliomba separation kujiondoa kwenye kero la kulipishana umeme zaidi ya matumizi yangu.
Sasa napata kero ya kulipishwa pango. Hii ni lazima hata lwa wasio na majumba?
Wapinzani hoja wanazo. Tena hoja zao ni kali zinazo simamia maslahi ya Taifa kwa uhalisia wake na ndiyo maana serkali inatumia vyimbo vyote vya dola na vyombo vya habari kukandamiza hoja za wapinzani zisiwafikie wananchi. Ama wananchi wakizifahamu na kuzielewa basi CCM ambayo imekuwa madarakani...
Yawezekana wengi wao ni wa CHADEMA. Unapo fanya appointment ya kuchanja sijaona sehemu inayo dai chama unachotoka. Wanauliza umri, kitambulisho cha NIDA au PASPORT au KITAMBULISHO CHA KURA. Angalia katika jamii unyo ishi. Ni wangapi wamechanja na ulizia wametoka chama gani.
Sio tozo za miamala na manunuzi ya bundle pekee. Hata malipo ya majengo kwa LUKU pia ni ufisadi na wizi. Wengi wanakatwa lakini ni wapangaji walio omba separation. Tena wengime wamesha kufa na wengine wamehama. Vyema wanapo kata wataje na namna ya jengo mteja analo daiwa.
KUPANGA NI KUCHAGUWA. Uchumi, Utamaduni, Maisha ya Watanzania yame tekwa na UKOLONI MAMBOLEO. Hatuwezi kuwa na sera za UJAMAA NA KUJITEGEMEA wakati tuna tamani UCHUMI HURIA.
You are one strange character. Is virginity your best reason to marry a woman? What has pre marital sex have to do with marriage? In this modern world that we live in, I can make any woman a virgin by a very simple surgical maneuver. Marry because of LOVE and not virginity. Unless if you dint...
Ole wenu mnaolichukulia swala la mlipuko wa mabom kanisani Arusha kwa mzaha. Jambo hili lawza chukuliwa na maadui wa nchi hii na kulikuza hadi kutokee mtafaruku kati ya waislaam na wakristo.
Dini hizi mbili zimekuwa ziki husiana kwa wema ingawaje kuna tafauti za ki itikadi
Tanzania needs China to keep the balance of powers in equilibrium. We are leaning too much towards the west. That is why Tanzanians dont enjoy their Natural resources which so far are being exploited by the west. With china in the scene, we would be able to keep the exploitation in check. After...
It would seem as if he owns the Airport. The best you can do is name it after the region where it lays. Why are people always behaving irrationally when it comes to naming National Monuments. What has he done for Tanzania that is remarkable?
Usiombe........ kUCHAFUKA Kama ni kama mimi ninavyo elewa SEPTICEMIA au VIREMIA ni hatari sana. Homa kali, Convulsions, na utahitaji kulazwa na kupewa Antibiotics. Au kama ni sababu ya kidney failure na urea imejaa basi utahitaji dialysis. Hizi ndiyo namna ya damu kuchafuka. Labda kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.