Nadhani Marando mwenyewe alishawahi kusema kuwa kina Jeetu walitumika tu kama scapegoat na ndio maana anawatetea. There are key figures behind the EPA scandal who really need to be dealt sio hawa waliokuja kutumika dakika za mwisho kutawanya tu hizo hela!
Ni kweli ni mdada mwenye uwezo mkubwa na vipaji lukuki.
Lakini ni kweli pia kuwa ni mtoto wa Esther Mkwizu aliyekuwa mshauri wa Rais Ben wa mambo ya uchumi. Kama sikosei bado ni mwenyekiti wa Tanzania Private Sector Foundation. Kwahiyo anatoka kwenye familia iliyojikita kwenye system...
Jamani inawezekana hali yake si nzuri si unajua huwa anatembea na ambulance sasa hiyo atakwendaje nayo huko kwenye maafa. Si wahanga wanaweza kumnyang'anya wakidai wao ndio wanaoistahili zaidi. Ndio maana akaona ni bora zaidi amtumie tu salamu shosti yake Sadick kwanza yeye mwenye hata hajaombwa...
Hongereni.
Concern yangu hapa ni kama hatujaona mchango wa CDM makao makuu katika hizi jitihada. Naamini kama hizo contacts si ajabu ingekuwa rahisi kuzipata kwa ushirikiano na na uratibu kutoka makao makuu mpaka ngazi ya mkoa in this case nadhani mngehitaji kushirikiana na viongozi wa mkoa...
Rev. Hivi Kazi unazotaka Dk. Slaa afanye hawezi kuzifanya sasa hivi kwa kofia yake? Kuna kitu gani cha kumzuia kujenga chama kama tayari ndiye mtendaji mkuu. Wapo viongozi wengi wanaoweza kuendelea kumsaidia na hawapo bungeni. Dk anaendesha sekretariati nzima ya chama. Hivi hiyo kweli haitoshi...
Kijana wa watu angeingia Chaka Chua Matokeo angepewa probation kwanza ya walau miaka kumi. Si jambo la kushangaza jamaa hawana mbunge hata mmoja wa kuchaguliwa below 35.
Ahaha. Huyu mzee Gachuma ameniacha hoi. Yani ametumia hii nafasi kutangaza biashara yake. Huyu mzee ana cheo cha udhamini wa CCM kama yule mzee wa upareni Peter Kisumo. Na ni kiongozi nadhani mkoa wa mara.
Jamani tukubali tukatae hata tufanye nini CCM hii imechafuka sana haiwezi kutakata. Huu...
nilikuwa sijamskia Malaria Sugu muda. Naskia mko busy mnachezea data base ya NEC. I hope mna wataalamu wa Statistics vile vile kwasaabu so far upuuzi wenu umeanza kujidhihirisha hesabu hazi make sense kabisa.
inaonekana jamaa alijipa udokta baada ya kusoma masters mbili kama hii CV ina ukweli. Nadhani ni breed mpya kabisa ya udaktari kwamba baadala ya kusoma PhD unasoma masters mbili teh teh!
Kuna dalili nyingi kuwa EL atarudi kwa namna yeyote ili kutengeneza njia for 2015. Kutokana na ego hawezi kurudi barazani kwa nafasi chini ya ile aliyoondoka nayo. Hata hivyo naamini kutokana na kuongezeka kwa wingi wa wabunge wasiokuwa CCM si rahisi akapita. Kwakuwa Chenge ameshaandaliwa kuwa...
huyu PS amefanana na yule Marmo wetu wa Mbulu.
Ndugu Raila ameleta changamoto mpya kabisa katika utawala wa Kenya. Hongereni ndugu. naona mnatutangulia kwa karibu kila kitu. Kazi kwa watanzania, nawasikitikia wanaodhani kwamba kazi kama hii yaweza fanywa na CCM. Walau sio hii tunayoiona.
huyu PS amefanana na yule Marmo wetu wa Mbulu.
Ndugu Raila ameleta changamoto mpya kabisa katika utawala wa Kenya. Hongereni ndugu. naona mnatutangulia kwa karibu kila kitu. Kazi kwa watanzania, nawasikitikia wanaodhani kwamba kazi kama hii yaweza fanywa na CCM. Walau sio hii tunayoiona.
BlackBery za namna hiyo inabidi uirudishe country of manufacture/purchase waiunblock kwanza. Ni jambo la kawaida kwa smartphones nyingi na iPhone. Njia pekee ni kuwasiliana na rafiki yako arudi alipoinunua waifanyie hayo marekebisho kama unataka kutumia BB service.
Muulize Mahimbo hilo swali!
Kamala ndio amemshikia Tambwe nini kitengo kwa muda? Anajitahidi kuthibitisha taarifa za msema kweli. Kile kitabu kitabu kilipopelekwa jimboni kwake inawezekana jamaa aliuza hata nyumba ili avinunue vyote. Pole sana ndugu Kamala. labda ni bora ukaanzia chini ili...
naamini mdahalo uatafana kama ule wa diamond jubilee wa tarehe 4 mwezi wa tano mbele ya wazee wa mkoa wa Dar es Salaam. Jeikei hana muda wa kuzngumza na vijana wa sikuhizi ni watukutu mno kwahiyo naamini waandaji wamelitazama hilo pia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.