Wadau!
Mnyika alikuwa live TBC 1 dakika chache zilizopita, pamoja na wanachama wa Chadema, katika kituo kimojawapo cha uchaguzi, wakitaka wasimamizi kutangaza matokeo.
Lakini wamejibiwa ya kwamba kazi hiyo itakamilika usiku!
Tafakari...:loco:
Kuna mdau alitoa maoni haya katika website ya gazeti la Mwananchi jana 08/09/2010...
"Watanzania walio wengi ni maskini kiasi kwamba ukiwa angani kwa ndege vijumba vyao vinaonekana kama vichuguu! Ni vigumu kutofautisha kichuguu na nyumba. Tangu Mungu aumbe dunia hii, hawajapata mabadiliko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.