Kwa kukusaidia tu ni kwamba ulichokiandika ni uongo. Soma hapa
1. Joseph Mkundi anaishi katika kijiji cha Bukiko kilichopo kisiwani Ukara, ndipo yalipo makazi yake
2. Joseph Mkundi ni mbunge ambaye ametumia zaidi ya asilimia 90 ya kipindi chake cha ubunge (excluding kipindi cha vikao vya bunge)...
Karibu sana mkuu, huku kuko vizuri sana. Mambo mengine yanayosikika kuhusu huku Ukerewe ni hadithi za kufikirika. Ni sehemu nzuri mtu yeyote wanaweza kuishi bila shida
Poleni sana walimu. Ila isiwe 'tekniki' ya kuhama kwa urahisi kutoka huko kisiwani baada ya maombi yenu ya uhamisho 'kugoma'
Pole mwalimu Daudi Shule, my schoolmate Ngoma Sekondari, Sengerema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.