Hata wazee wetu walipigania uhuru wao na haji zao kwa wakoloni ,hvyo wangelikuwa na.mawazo kama hyo wasingedai uhuru ,waislam pia tunahaki ya judai haki zetu maana dhulma ni nying xid yetu asiliolijua hilo uyo ni mpumbavu,hakuna hata sheria ya ugaid tanzania yaruhusu watuhumiwa kulawitiwa...
Mbona kifo hukizungumzii maana kimesha wachukua ndgu zetu weng maprofesa na watalaam wengi ,ambapo imefanya had wataalam kuwa wachache ktk secta mbalimbali wwe umeona watu kwenda kusali na kurudi
Tujue kwamba kuna maeneo rasmi yatolewayo na serikali kwa jili ya majumba ya ibada ,hvyo pia kuna maeneo pia yatolewayo kwa.ajili ya shule,hospital kwa din fulani kwa kutokana na kuomba kwao serikali na pia serikali kuangalia umuhimu wa hile huduma watakayo hitoa kwa jamii bila muangalia din zao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.