Ukirudi nyuma ukatafakari athari za madawa ya kulevya kwa taifa letu unaweza toa kauli kama alizotoa mheshimiwa Magu! Mie nilimsikia akisema waliohukumiwa kunyongwa...maana yake wamekutwa na hatia na wamepewa hukumu...yeye rais aliruhusu wanyongwe! Sasa kama wamehukumiwa hivyo sio kosa la rais...
Wow, haya ndio mambo ya mwanamama kamishna eh! Inaonekana watendaji waaminifu wa uhamiaji walishachoshwa na uhuni wa mabosi wao wa zamani walioendekeza uhuni na hivyo kuwafanya waaminifu hawa wakose kwa kusemea na kupulia! Sasa wamepata kamishna mpya wameamua kumpa kazi wakijua ataifanya...
Hii mbona ni kawaida kabisa ukienda nchi yoyote! Kama ukifunga ndoa na mhamiaji 'haramu' na usimhalarishe mpaka ukamatwe lazima atakuwa 'deported' na fine juu!
Hatua hii ya serikali naiunga mkono!
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni!
Pamoja na maneno mengi mazuri uliyotumia ktk kumshauri JK, Bado sioni tatizo ktk ushauri alioutoa Jk kwa PK.
Ndio anahitaji kutengeneza mambo nyumbani kwake, lakini wakati huohuo anahitaji kutuwakirisha nje. Tupende tusitake, bado yy ni rais wetu!
Kama rais wa...
pole sana, kama ulivyoshauriwa, nenda hospitali, sijui kama umeshachelewa sana! Hakuna haja ya kukaa unatafuta tiba mbadala kabla ya kwenda hospitali, afu zikigonga mwamba ndo unafikiri kwenda hospitali, huu ni ujinga! Ukianza kijisikia ndivyosivyo, mapema, changanya makongoro, nenda hospitali...
Wanarudi kazini!? Kumtibu nani, mie sikubali, nimesema sikubali kutibiwa nao mpaka watimiziwe walichokuwa wakidai na machungu walonayo yawatoke! Nitaandamana hata kama ni pekeyangu kuishinikiza serikali iwalipe madokta haki zao! Vinginenvyo kuna kuambukizwa magonjwa zugu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.