Aaaaah hii kali, ila kwa ujumla wake tz sio maskini, hata huu mgao wa umeme/stima kama Wakenya wasemavyo huenda kuna njama, mnakumbuka kipindi fulani tanesco walisema tatizo ni maji, shelukindo alipofuatilia na kukuta maji mengi, wakasema mzee tatizo sio maji ni mitambo mibovu, labda kuna watu...
KANISA KATOLIKI SIO CHANZO CHA MAUAJI RWANDA, TAFUTA UKWELI WA MAMBO USILIPUKE NDG. YANGU UNAYEJIITA DSM, mara kwa mara niliyasikia maneno haya kwenye kampeni za CCM--ktk uchaguzi mkuu wa mwaka huu-2010. ni maNeno ambayo hayaniiingii akilini kulihusisha kanisa katoliki na mauaji kule rwanda...
ASANTE BABU.
LABDA WATAKUSIKIA WEWE, MVUMO AND MWENDO KASI WA UPEPO WA SLAA ni mkali mno, na unaumiza vichwa vya wanaCCM, ndio maana Kinana kanena kukanusha yaliyosemwa ktk Uzinduzi wa kampeni ya CHADEMA. Kukmbuka alipoulizwa mbona hata CUF wamerusha akasema atajibu siku nyingine lkn kwa...
Pole sana marine hassan marine.
Bosi kumwamru kukata matangazo, sio kosa lake jamani.
C.c.m inatumia ubabe,
mmesikia kauli mbiu ya ccm ''ushindi ni lazima". Means that hata kama wakishindwa watanyakua kwa nguvu.
Mungu atuepushe na balaa hili la ccm
vote for change 31 october, 2010.
zamani wakati nakua CCM ilikuwa chama cha wakulima na wafanyakazi, leo hii CCM imepora na wafanyabiashara na mataijiri wachache. Ni chama kinachochezea uhai wa taifa. NATAMANI SIKU MOJA IFIKE AMBAPO WANACHAMA WA CCM WATASEMA TANZANIA KWANZA CHAMA BAADAE. UZALENDO UTAFUFUKA TOKA KTK MIOYO YA...
Uongozi wa nchi si suala la mzaha hata kidogo. Kiongozi bora ni yule anayesikiliza na kutatua matatizo ya wananchi yake. Ni mzalendo kwa Taifa lake. Kagame licha ya ukatili wake, ni mzalendo kwa Wanyarwanda ndio maana serikali yake imeyaondoa magari ya kifahari ktk kuyamiliki na kuyaendesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.