bila shaka wamefanya utafiti kufikia hayo mamuzi maana hata nchi jirani wenzetu hawana utaratibu huo wa ranking to come up na best school nor best student, tungeweza walau kurank kimkoa.
nilipoisoma taarifa ya mstahiki meya, ama Kwa hakika nilipatwa na huzuni Sana. Kaka Sam, Mimi pia Niko tayari kuchangia. Huu mradi utatoa fulsa nyingi Tu za ajila Kwa ndugu zetu.
Aisee chief-Mkwawa, Mimi pia nina Lumia 950, jamani betri haikai zaidi ya masaa matatu ingawa ina fast charging, hili swala la kutokaaa na charge na kupata joto limeniboa sana na hii simu. naomba msaada wa kiufundi tafadhali
Maombi yanahitajika, mtumishi wa Mungu Joseph Gwajima tafadhari sana ongea na mke wa daktari huyu, moyo umesononeka sana lakini Mungu ana makusudi na Tanzania, this is a very trying moment to chadema.
Hivi huyu dada sijui ataonekanaje ndani ya gwanda, utampenda tu, kusema ukweli ni mzalendo sana huyu dada, alipigana sana kwenye issue ya wanavyuo pia wakati wa mjadala wa wizara ya elimu ilikuwa ni shida. hebu waza tu, kule mdee, pale matiko na huku Bulaya imagine hiyo combination ndani ya...
tusemeje sasa wengine, mimi nina ndugu yangu above 30 years mpaka hii leo ananyonya tena madole yote mawili anayatumbukiza mdomoni, na mwanae wa kwanza ndo naye noma tena huyu mwanae (7years) wakati kidole kiko mdomoni mkono mwingine kidole kina viringa pindo ya nguo ya vest yake. Sasa hao wote...
Bila shaka kura ya hapana ya mwanasheria mkuu wa zanzibar ina beba maana nzito zaidi kuliko unavyoweza kuitafasiri.
Ni kama refa kunyang'anywa kipyenga( hapa AG SMZ) na kutokomea kwa washabiki sasa Refa sita na wachezaji uwanjani ni faulo tuu na huna namna ya kudhibiti game
ati unapewa gunia zima ndani limejaa ibara zote na sura zote, unapewa semina ya kusema ndiooooo, in fact hawakutarajia hapana what a pathetic.
au ndo wanataka kutufanya kwamba ukitaka kumficha mtanzania weka kwenye maandishi, maana ki ukweli hii rasim ya sita na chenge ni msiba kwa watanzania...
tuvumiliane wakuu. tuonane mwakani July 2015, tutakuwa tumefikia hatua nzuri kukabidhi kazi inayoendelea kwa kasi kubwa sasa. wengi wetu hamjui hatua tulipofikia sasa. kazi ya kuinua nguzo katikati ya bahari pamoja na earthworks on approach roads inaendelea usiku na mchana. presure ni kubwa...
mimi nimesamehe na kila kitu kimeishia hapo. Mungu atamsamehe pia. najaribu sasa kugather data na information zangu kitu kinachoniuma zaidi lakini sina la kufanya
Nyati na wadau wengine wote mliochangia thread hii, nawashukuru sana. Nimeipata simu yangu ingawa kulifanyika jaribio la kuiharibu (futa kumbukumbu zote) kwa hivyo imepoteza ubora wake na data pia, lakini nitaenda samsung service center wa in reinstall bila shaka itakuwa sawa,
Inauma sana lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.