USIWE na Hofu wala wsiwasi serikali ipo ata hapa JM tulieni tupeni Muda atajibu tu na itakuwa somo na fundisho kutoa taarifa isiyo rasimishwa....Tunakumbusha sheria ya makosa ya kimtandao ipo inafanya kazi...Mchana mwema ninyi nyote
Corolado in America hiyo bangi imehalalishwa inaingiza kipato likubwa sana..Tz vipi?
Sugu ni sugu tu huwezi shindana nae hata siku moja,tukiongea ukweli walisanda na pesa wakampa.
Aisee,jana katika pita zangu ubungo saa tatu asubuhi nikaona jamaa kachomekea fresh akadaka kimoja akapiga akaendelea na mishe zake,dah najiuliza hii pombe nayoinaongeza mapato ya TAIFA,?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.