Habari!
Kwa huzuni kubwa leo naomba kwa mara nyingine niwakilishe kadhia wanayopitia wakazi wa Mbopo kata ya Mabepwande kufuatia ubovu wa miundombinu kwenye kata hii iliyo kwenye jimbo la kawe!
Tangu mvua ya December 2023 mpaka January 2024 iliyoharibu kabisa barabara na miundombinu katika...
Mambo vipi wakuu!
Kwa anayehitaji kwenda Moshi kwa ajili ya kushiriki Kili Marathon, nitaondoka jioni ya tar 23 Ijumaa na gari binafsi, 5 seater, so nna nafasi ya watu 4! Kurudi jumapili jioni tar 25!
Unaweza cheki na mimi for booking
Thanks
Update: Gari imejaa (full booked) ahsanteni
Kwa sasa hana shabiki Mbopo hata mmoja! Tangu majanga yatokee Mh Chalamila RC amekuwa karibu na wakaz wa huku kuliko yeye! Tulikaa na Chalamila hadi saa nne usiku tukijenga daraja la Panga Boy.. yeye hata kutokea hakutokea
Habari wana JF!
Nafahamu kumekuwa na ripoti nyingi za uharibifu wa miundombinu kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha, lakini leo ningependa nilete jukwaani hapa hali ya kiunga kati ya Mbopo na Bunju, kutoka kata ya Mabwepande, wilaya ya kinondoni.
Kwa sasa hakuna mawasiliano kabisa kufuatia...
35000? My friend nimenunua juzi, hapo Buguruni kuna kiwanda, 60,000... yana bei balaa.. Mimi nimetumia kwa ajili ya kuezekea ka kibanda ka nje ka kupumzikia wanaita pergola! Ila nusu nighaili bei yake mweeeh
Tazama screenshot iyo
Habari!
Nimekutana na mzee mmoja mstaafu wa shirika la reli (TRC) ambaye alistaafu rasmi mwaka 2020. Huyu mzee wakati ana staafu alikuja kwangu kunikopa hela, hakikuwa kiasi kikubwa sana, na alihaidi kukirejesha pindi tu atakapolipewa pesa zake za kiinua mgongo ama "mkono wa kwa heri" kama...
Habari!
Tunauza portable car inverter kwa ajili ya kubadili Umeme wa DC kuwa AC kwa matumizi madogo kama kucha
ji laptop, kuchaji bluetooth speaker, ku run hair dryer au fan.
Kwa wale wanaosafiri au kutumia muda mwingi barabarani na wana vitu vya SC bhasi hii ni mkombozi wako!
Matumizi yake...
Habari!
Nauza ubao wa kidijitali au screen ya matangazo inch 49, android OS, wa kusimamisha unacheza files zote kuanzia videos, GIFs, pictures etc.
Unafaa kwa matumizi ya dukani, supermaket, hotel, hospitali n.k.
Matumizi yake: unatengeneza maudhui mfano video fupi, au GIF zenye kutoa...
Habari!
Nauza smart keyboard cases complete na external wireless mouse yake kwa ajili ya iPad Pro 11/10.9 inch. Products ni mpya kabisa
Bei 140,000 TZS tu!
Tupigie 0712075845
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.