Yes ni kila tawi. Ila intake inaanza mwezi wa tisa kama sikosei. Na mtihani wao wa mwisho ni June. Ada zao ni chipu sana mkuu. Jipange uanze. Mfano kwa foundation. Form ni sh elf 10 Ada yoote ni makadilio ya kama laki nne.
Hapana mkuu. pale sifa zao wanataka mtu aliye na angalau na D tano kwenye cheti cha form four. Na kisha awe na certificate yeyote kutoka ktk chuo kinachotambulika.
Hapo utasoma foundation course kwa mwaka mmoja. ambayo kiuhalisia ni kama kusoma form 5 na 6 kwa mwaka mmoja. sababu unasoma...
mkuu Janja PORI hapa mjini. na wenyewe wanasema mjini shule.. Hebu toa hiyo labda kwenye maelezo yako upate jibu sawia. Amesoma masomo gani na anataka kusomea fani gani ni la msingi zaidi.
Utaelekezwa hadi pa kwenda au kumpeleka kama ni kweli ulichoandika. manake hiyo LABDA yako ni kama...
Bersion ndiyo nini????
Au na we ndo ushaanza kubadli??
Ama kweli mi punguani mamaa!
Yaani kuishi kwangu kooote huku mjini sijawahi kuuona hata unyayo wa Yesu.
Lakini mwenzangu wewe umeziona nywele, pua,rangi duuuh!!!
Kitu cha mwisho kabla sijapigwa ban;
Jina lako linamaanisha...
Nijibu swali lako la kwanza kwa njia ya swali.
Waislamu safi wasiojua kiarabu wataiona pepo?
Anaenipa haki ya kubadili jina ni lugha na lahaja in general.
Kule zenji ARSENAL inaitwa ASENALI.
Paragraph ya mwisho najibu hivi;
Wakristo weupe wameigiza, narudia tena wameigiza filamu...
Majina hubadilika kutokana na mazingira na lugha mkuu;
Kubwa zaidi ni kwamba Yesu anazijua lugha zoote.
Hivyo akiitwa Jesu, Yeshua, Jesus, Kyala, Sebha....... Ataitika tuuu!
Ila je? wafaransa na wamarekani kama mfano huwa wanajua kwamba wamepachikwa majina haya?? Maana ndiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.