Habari yako Mwl Mtarajiwa Mkwaya, mimi mwenyewe nimesoma SAUT, Kiswahili/History.Kufanya utafiti katika somo la kiswahili kwa kutumia lugha ya kiingereza inawezekana kabisa. Jaribu kuonana na waalimu wako, watakuelekeza vizuri,kwani nwengi wamefanya hivyo na imewezekana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.