Habar zenu wakuu, mimi ni mjasiliamli mdogo, hutengeneza bites, chakula, na cakes. Ila ujasiriamali wangu hutegemea orders za wateja ndo niandae.. Napatikana mwanza.. Kwa mawasiliano zaidi
Whatsapp +255625632376
Instagram @foodbites_cycle.
Kaka nahitaj sana kufanya ujasiliamali lakin kwa sasa nipo tu namtaji wa laki mbili na najaribu piga akili chakufanya lakin sijawah fika kwa conclusion kwamba nifanye nn? Plz unaweza nisaidia muongozo na mawazo nipo mwanza
Samahn sna kama nilikuwa nataka kuomba hiyoo course kwanza ya diploma lakin sasa kwa chuo cha kigoma kuna vitu vinanichnganya pia cz kuna hii diploma in meteorology and certificate in meteorological technician naomba ufafanuz kaka...
Wakuuu habari zenu!! Ninatumia tecno h6 na kila nikiinstall instamessage inaniambia kuwa ni rate na pia nikirate bado inaniletea maneno yale yale na pia inashindwa fanya kaz pls msaaaada wakuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.