dondosha tone la maji kwenye kisima kilichotulia uone mawimbi yake yanavyotapakaa.
My take, read between the lines you will understand. There are more things than you may thought "have a break, have a kit kat"
THE PICTURE TELLS THE STORY BUT IT DIFFERENT NOW
[IMG]http://1.bp.blogspot.com/_stxylFr6jLM/TOUqRSPEf1I/AAAAAAAA1R8/HiVHDoLQ2Ig/s1600/1j.J
"BUT THINGS HAVE CHANGED NOW"
mr omera, yes. Jibu unalo hapa. Ni watanzania wangapi hawakupiga kura siku ya uchaguzi 31/10/2010? Idadi unaijua. Wengi hawakupiga kura na sababu unazijua mwenyewe. Labda wewe/wazazi/ndugu zako wakiwa mmojawapo
Tarehe Thu Nov 18, 09:28:00 PM, Mtoa Maoni: MAINA ANG'IELA OWINO
CHADEMA mtindo huu wa Siasa za Shangwe umepitwa na wakati hasa ktk Taifa lenye uchumi unaohitaji changamoto za mawazo ya kusonga mbele.
Hii ni kushiriki Demokrasia isiyo na NIDHAMU hasa kwa Watanzania waliowatuma...
Mapinduzi ! Daimaa !!! Mpaka kieleweke, tulishindwa hapo awali lakini sasa kitaeleweka tu hata kwa maguvu atake asitake ni lazima tumuondoe huyu "kauzibe" tujipange vizuri wakuu
hii inaashiria kwamba na wewe ulikuwepo na kushiriki katika kikao cha shina hilo na ukajua hata mahudhurio yenu, kwa kuwa hakukuwa na makulaji ndiyo maana unakuja na jazba lako, hebu toa matapishi yako hapa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.